Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bahati mbaya kila anakopita anakuta Magufuli na CCM yake wanaendelea kufanya maajabu ya maendeleo.Lisu anafanya utalii wa mijini yaani Town tourism
Vijijini anafahamika mmeo!Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Mbeya this time watachukua jimbo la Rungwe, Mbeya mjini na Mbeya vijijini.Kweli kabisa aisee,maana mkoa wa Mbeya wote walipata jimbo hilo la Sugu.Kwa Songwe ndio walishinda kwa Mwakajoka,Silinde na Haonga.
Ngoja tuone 2020 hawakawii kulalamika
Yaani wewe ni muongo mpaka shetani anakuogopaNimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Hujakoma tu kuweweseka??Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Sema Mko mbeya mjini sio Mbeya kazi yenu kuzurura tu mijini tena miji michache .Sogeeni vijijini muone mziki wake
Tatizo lenu nyie mataga huwa mnaonekana kabisa mnaogopa hata kuangalia au kusikiliza lisu hotuba zake na jana pale Dodoma ametaja mikoa takayo kwenda awamu ya pili itakuwa ni jimbo kwa jimbo bampa to bampa msikilizeni mpate uponyaji wa kifikra na kimaisha uamuzi ni wako hulazimishwi[emoji119]Mi naona mgombea wa Chadema anafanya kampeni mijini,sasa wapiga kura wako town tuu? Halafu utegemee kushinda duu
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Aende na hoja sasa, Asifike kule akaanza kutoa ushuhuda wa kupigwa rusasi 17 na wasiojulikana.Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Mnadhani vijijini hawapati habari kama zamani. Unaweza ukawa mjini huna smartphone, mtu wa kijijini anayo kali na anapata news kila siku kukuzidiVijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Hapo ndo CCM watamupigia panga takatifu. Lissu 18%, JPM 81%, Membe 1%, vilivyobaki watagawana 1%. Mtandao na resources kwa Lissu ni kama hakuna, mtandao wake ni wapiga debe wa mijini tu ambao hawapigi kura.Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Labda tatizo ni ukwasi,wageweza wakafanya sehemu zaidi tatu kwa muda ule ule,kwa kuwakirishwa na vigogo wa Chadema. Nimeona CCM wana Majaliwa,Makamu wa Raisi,Kikwete wapo maeneo tofauti tofauti wakimpigia kampeni Magufuli ,wabunge na madiwani.Mi naona mgombea wa Chadema anafanya kampeni mijini,sasa wapiga kura wako town tuu? Halafu utegemee kushinda duu