Uchaguzi 2020 Lissu hafahamiki kabisa vijijini kwenye wapiga kura wengi

Uchaguzi 2020 Lissu hafahamiki kabisa vijijini kwenye wapiga kura wengi

Naamini huko kote watafika sasa wanazindua kampeni zao kwa kanda mabadiliko yoyote huwa yanaanzia mjini na vijijini watafuata
Watafika vijijini kwa mwendo wa kuchangisha hela ya kampeni?
 
Shida vijijini elimu hawana..
Wanajua nini?
Maendeleo?Barbara?
Wanajua hata pesa zao zinatumikaje?
Wapo nyuma sana.
Hakunaga hii kitu, dunia ya leo sio ileee

Kama Lissu hakubaliki ni hakubaliki tuu
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.

Ungewauliza na Rais wa Tanzania aliemaliza muda wake ni nani?

Wangekwambia ni nyerere au mwinyi
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.

Wewe ulitembelea hizo wilaya kwa lengo la kuulizia watu kama wanamfahamu Lissu, au ullikuwa na shughuli nyingine? Je ni nana aliye fadhilii huo utafiti wako?

Kama lengo la kampeni ni kujitambulisha kwa watu,kwa nini huyo ambaye unafikiri anafahamika, licha ya kutumia miaka yote mitano kujitambulisha bado anaendelea kuzunguka kujitambulisha?
 
Kwa hakika, Tundu hana chake vijijini. Lakini kwa CDM siyo kwa mwaka huu tu bali hata kwa miaka iliyopita.
Uchaguzi wa mwaka 2015, nilichunguza vituo 3, vya vijijini. Matokeo yake yalikuwa kama ifuatavyo:-
Kituo A: CCM kura 312, CDM 23
Kituo B:CCM kura 357, CDM 32
Kituo C:CCM kura 294, CDM 17
Wakati huo Vituo vya Mjini kura zilikuwa zinakaribia kulingana. Yaani, mara anazidi CDM mara CCM. Kwa tathmini hii fupi, mwenye macho haambiwi.
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Lini hiyo ndugu ulipita vijiji hivyo?
 
Vijijini huwa hawaandamani,

hujui target ya msemo wa sasa basi? Ni watu kuingizwa barabarani endapo wataona wameonewa, na ukumbuke nilimsikia lisu "kama nimekosea nirekebishwe" watakuwa na namna yao ya kuhesabu kura.
 
Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa

Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Baada ya matokeo utawasikia tumeibiwa kura, tunaenda mahakamani au tunaitisha maandamano wakati mgombea anabwabwaja tu mjini kusema kapigwa risasi utadhani hatujui hilo.
 
Back
Top Bottom