Shidundufilu
Member
- Aug 5, 2020
- 23
- 16
Sina hakika na mtoa mada, japo mpaka sasa huko vijijini kuna mpambano mkubwa mno kati ya Lissu kwa jina na Magufuri...mbaya zaidi Magufuri kachafuliwa mno. Lissu anajulikana kama ni mkombozi ndio maana walitaka kumuua