ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Kubwa jinga, sikia nliendaga vijijin ndani ndani, nlikutana na wanakijiji wanatumia tecno kitochi yenye memory card, wanasikiza hotuba za lissu kwenye kijtochi,Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Kwanza mhuni ananyoa kihuni kidukuNimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
vijijini kuna wapiga kura wengi kuliko mjini..??? acheni utaniNimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Kampeni ni gharama sana ukizingatia li nchi lenyewe ni kubwa kuliko.Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Mtaongea mengi sana utafikiri hivyo vijiji sisi hatuvijui eti?Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Ni kweli hawamjui ila anafahamika hata na watotoNimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
kabla hajarejea nchini singeli yenu mliimba "hakuna Mtanzania atakayehudhuria mkutano wa Lissu kwa jinsi alivyoidhalilisha na kuisema vibaya nchi yetu kwa mabeberu".Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.
Kimsingi vijijini kampeni huwa hazipigwi wakati wa uchaguzi, ni uwekezaji wa muda mrefu.Naamini huko kote watafika sasa wanazindua kampeni zao kwa kanda mabadiliko yoyote huwa yanaanzia mjini na vijijini watafuata
Kwa taarifa yako Hali ya maisha vijiji ni mbaya kuliko unavyo dhani. Ugumu wa maisha umewafanya watu vijijini kujiuliza chanzo chake na wamegundua tatizo ni CCM. Kupitia ugumu huo huo wameanza kuuliza Kama Kuna njia mbadala na kupitia huko wamemtambua Lisu. Watanzania wanafanya mzaha na ccm ,chama kimetawala miaka mingi Ila watu wanalia kila kukicha. Ccm inatakiwa iwe KANU October,.Nimetembea wilaya ishirini za mikoa ya kanda ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini vijijini kuuliza kama wanamjua mtu anaitwa Tundu Lissu wamesema hawamjui kabisa
Vijijini hana chake hata akienda kufanya kampeni ana kazi kubwa ya kujitambulisha yeye ni nani.