Lissu hajawahi kutamka neno Rais apinduliwe

Kweli kabisa mkuu, wangejua jinsi jeshi likipindua nchi wananchi tutawaunga mkono wangekaa kimya tu. Tumechoka kutawaliwa na hiki chama kwa shuruti, kinachokaa madarakani kwa mbeleko ya vyombo vya dola.
Umechoka we na nani?? Jisemee nafsi yako ukichoka lala!!
 
Hakuna mwanadamu anayestahili kumuua mwanadamu mwingine...

Umenukuu maneno ambayo, Mungu alitamka ya kwamba Adam na Hawa watakufa, na wala hakusema kwamba atawaua...
Kwani mtu hata akifa kalala,huwa kauawa na nani Kama siyo Mungu!?..mwanadam aliyeua mwenzie anapaswa kuuawa ili wengine wahofu kuua wenzao,siyo unajua halafu unaendelea kuning'iniza kengele na mtindi duniani
 
Aliposema" Sijawahi kuona raisi wa ajabu kiasi hiki, " na lugha ya matope, Ni sawa tu na kutangaza mapinduzi.
 
Wale hawafi na watatoka mapema sana kabla 2025 ila Tanzia kubwa itakuwepo Mungu amechukia dhuluma
 
Weka ushahidi hapa, kama yeyote kati ya Adv. Mwabukusi, Mdude, au Dr. Slaa akitamka hayo maneno Rais apinduliwe, usilete porojo za kitoto hapa..
Ushahidi kwa Dr Slaa huu hapa
Your browser is not able to display this video.
 
"Ukicheka na nyani utavuna mabuwa". Hawa mapimbi walikuwa wanahamasisha civil unrest. Labda Mshana Jr hujawahi kuwasikia kule Club house na Mariaspsce.

Waliiuwa wanapnga kwananunukia vipazia sauti hadi vijana wa kwenye vijiweni ili wasikikize na wahamasike na harakati zao za kutaka kuipindua serikali.

Serikali imechelewa sana ku DEAL na wahuni hawa
 
Kama neno kupindua wanaikubali pia wakubali neno serikali isiyosikivu
 
Watapinduliwa tu. Ipo siku yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…