Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.