Lissu hajawahi kutamka neno Rais apinduliwe

Lissu hajawahi kutamka neno Rais apinduliwe

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Mtakubali taratibu. Acha kutafuta sifa kupitia Lissu
 
kimsingi haya ni madai ya IGP wambura,sijui aliyasikia wapi!!!

na kama aliyasikia kwa mtu au kundi matamshi hayo,bado hakutakiwa afanye alichokifanya.kuchimba mkwara kama anaongea na boda boda wasiotaka kufuata kanuni.


amelirahisisha swala husika sababu ni mwanasiasa nayeye.
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Kwanini aangushwe
Kwanini apinduliwe.. Kuna shida gani kwani?
Hivi mtu anayetaka kufanya hivyo anatangaza hadharani kweli? Kama kuna kosa limefanyika basi ni kuwakamata wakosoaji na kuwasweka ndani huku mkiwabambikia makosa makubwa ya uongo yalioongozwa na hisia zaidi..

Wale jamaa labda wafie huko waliko.. Maana wakitoka....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini aangushwe
Kwanini apinduliwe.. Kuna shida gani kwani?
Hivi mtu anayetaka kufanya hivyo anatangaza hadharani kweli? Kama kuna kosa limefanyika basi ni kuwakamata wakosoaji na kuwasweka ndani huku mkiwabambikia makosa makubwa ya uongo yalioongozwa na hisia zaidi..

Wale jamaa labda wafie huko waliko.. Maana wakitoka....

Sent using Jamii Forums mobile app
Waulize waliyotamka hayo
 
Back
Top Bottom