Lissu: Hakuna Katiba Mpya, hakuna uchaguzi

Lissu: Hakuna Katiba Mpya, hakuna uchaguzi

HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:

View attachment 2797585

HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.

HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.

Kauli ya wengi ni kauli Mungu.

Aluta continua!

Mwenezi yupo jikoni kutengeneza Dawa yao hawa binadamu.
 
HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:

View attachment 2797585

HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.

HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.

Kauli ya wengi ni kauli Mungu.

Aluta continua!
Mtoa taarifa
 
Mwenezi yupo jikoni kutengeneza Dawa yao hawa binadamu.

Huyu hapa?

F9ngRD6WgAAyPA7.jpeg
 
Nobody is perfect. Everyone has got flaws but people learn and change. The guy is unstoppable, God’s purpose must prevail, hahaha goosebumps are inevitable.

Even if he does not change. What has that got to do with us? Please you can tell that to the birds.
 
HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:

View attachment 2797585

HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.

HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.

Kauli ya wengi ni kauli Mungu.

Aluta continua!

Unfortunately huu ni msimamo wake wa zamani. Sasa hivi na yeye yuko katika dilemma kwamba waingie au wasiingie. Moyo wake u radhi wasiingie lakini kazunguukwa na watu wanaotaka ubunge ile mbaya, hao ndo hawataki kusikia habari za kutoingia ktk uchaguzi
 
Bila tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya,

Hapatafanyika uchaguzi wowote, time hii, hakuna kususia!!
 
HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:

View attachment 2797585

HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.

HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.

Kauli ya wengi ni kauli Mungu.

Aluta continua!
Ngoja tuonee...
 
mnafki zito kabwe kashasema ata shiriki uchaguzi. mbowe alivyo mtimua chadema alifanya la maana sana.
Mkuu tubet Million, CHADEMA hawana uwezo wa kususia uchaguzi mkuu, wa serikali za mitaa wanaweza mana hauwaathiri kwenye ruzuku, ila uchaguzi mkuu, hata bila kubadili sheria za uchaguzi hawa jamaa wanashiriki tu lazima,
 
HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:

View attachment 2797585

HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.

HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.

Kauli ya wengi ni kauli Mungu.

Aluta continua!
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
 
Lussu kastuka mapema, anajuwa wakiingia kwenye uchaguzi hawana chao.

Hata mgombea wao hawajui atakuwa nani. Anajijuwa uwa yeye hawezi kugombea tena, sasa anatafuta pakutokea.
 
Back
Top Bottom