Lissu hana mvuto wa Uwenyekiti

Lissu hana mvuto wa Uwenyekiti

Uko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto

Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza

Lisu hamna kitu

Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Aache kuropoka ropoka ovyo na kuongea kusiko na staha. Mwisho wa siku wote wanaingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi, mara kulialia kutolipwa stahiki zake za kibunge, wakati watu walimchangia fedha ambazo amesema harudishi. Mwenyekiti gani wa aina hii?
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Vip kuhusu sokwe wenu wa miaka 80 huko lumumba ana faa cheo alicho nacho
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Akuvutie wewe mgonjwa wa Malaria 2 ili iweje? Akuoe au..?
 
Watu wa kazi wanaita haiishi mpaka iishe. Yaani walifanya hivo interms he was to be gone. Yaani piga mpka ziishe risasi. Bahati ilikua kwake.
kuna jamaa wa urusi anaitwa mikhail devyatayev. Alichapwa risasi 22 mwilini na akaendelea kuishi. Ni game of chance ila wengi moja tu kaisha. Hivo usishindane na nguvu wanasema ya Mungu. Bro. Angekufa bwege huyo, msifurahie.
Hapa umetukuza ukuu wa Mungu au mamlaka fedhuli za duniani?
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
CCM mbona mnaweweseka?
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Ujinga ni mzigo!!!
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Tundu Lissu hana mvuto wa Mwenyekiti wa Chama makini!
Anaweza kuongoza CHADEMA maana huko kumejaa watu wengi " wanaongea ongea" na kufikiri baadaye!
Chama makini hakiwezi kumchagua Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti.
Ni msema hovyo , hajui aseme nini wapi na kwa akina nani!!
Anaweza kuhojiwa na Mwanahabari chizi na bado akafunguka utadhani Kuna nati zimelegea kichwani kwake!!
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
we dada lissu ameoa ana mke na watoto tafuta mabachela akina lucas mwashwambwa ukabubujike nae
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Una vinasaba vya ushoga wewe unataka mwanume mwenzako akuvutie nini sasa? Na huko kwenu Zanzibar ushoga umeshika kasi na kuipiku Mombasa bila shaka wewe uko sokoni kutafuta basha.
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Vipi kuhusu huyu mgonjwa wenu wa malale huu ndiyo mvuto?
 

Attachments

  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 2
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Mbona wewe hauna mvuto wa kuolewa lakini hatukusemi, duniani hajawahi kutokea kiumbe akawa na mvuto kwa watu wote ndiyo sababu baadhi ya wanaotaka kuoa hawajakutongoza.
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Amepwaya kiasi hata waliomchagua sasa hivi wanajiuliza kama walifanya uamuzi sahihi.
 
Back
Top Bottom