Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Nenda basi mwenyekiti uwe wewe mwenye mvutoUnaongelewa mvuto wa kisiasa sio kimapenzi
Mvuto wa kisiasa wa uenyekiti wa Chadema Lisu hana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda basi mwenyekiti uwe wewe mwenye mvutoUnaongelewa mvuto wa kisiasa sio kimapenzi
Mvuto wa kisiasa wa uenyekiti wa Chadema Lisu hana
Aache kuropoka ropoka ovyo na kuongea kusiko na staha. Mwisho wa siku wote wanaingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi, mara kulialia kutolipwa stahiki zake za kibunge, wakati watu walimchangia fedha ambazo amesema harudishi. Mwenyekiti gani wa aina hii?Uko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto
Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza
Lisu hamna kitu
Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Vip kuhusu sokwe wenu wa miaka 80 huko lumumba ana faa cheo alicho nachoMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Sipururwike syosa🙌Uzi unamuhusu Lissu ajabu umetaja
Wasira,
Samia,
Mbowe
Una shida gani kichwani
Akuvutie wewe mgonjwa wa Malaria 2 ili iweje? Akuoe au..?Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Usitake Lisu aige ujinga kutoka kwa mama asiye na uwezo wa chochote (sitaki kutumia neno mjinga).Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Hapa umetukuza ukuu wa Mungu au mamlaka fedhuli za duniani?Watu wa kazi wanaita haiishi mpaka iishe. Yaani walifanya hivo interms he was to be gone. Yaani piga mpka ziishe risasi. Bahati ilikua kwake.
kuna jamaa wa urusi anaitwa mikhail devyatayev. Alichapwa risasi 22 mwilini na akaendelea kuishi. Ni game of chance ila wengi moja tu kaisha. Hivo usishindane na nguvu wanasema ya Mungu. Bro. Angekufa bwege huyo, msifurahie.
CCM mbona mnaweweseka?Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Ujinga ni mzigo!!!Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Tundu Lissu hana mvuto wa Mwenyekiti wa Chama makini!Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
VyteHapa umetukuza ukuu wa Mungu au mamlaka fedhuli za duniani?
we dada lissu ameoa ana mke na watoto tafuta mabachela akina lucas mwashwambwa ukabubujike naeMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Kwa kipi?Yaani lisu anawahangaisha sana
Una vinasaba vya ushoga wewe unataka mwanume mwenzako akuvutie nini sasa? Na huko kwenu Zanzibar ushoga umeshika kasi na kuipiku Mombasa bila shaka wewe uko sokoni kutafuta basha.Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Vipi kuhusu huyu mgonjwa wenu wa malale huu ndiyo mvuto?Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Mbona wewe hauna mvuto wa kuolewa lakini hatukusemi, duniani hajawahi kutokea kiumbe akawa na mvuto kwa watu wote ndiyo sababu baadhi ya wanaotaka kuoa hawajakutongoza.Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Amepwaya kiasi hata waliomchagua sasa hivi wanajiuliza kama walifanya uamuzi sahihi.Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.