Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Wewe ni mwanamme au mwanamke?.
Kama ni mwanamke sawa.
Kama ni mwanamke sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaolewe na mwenye mvutoMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Kautoe ujauzito aliokupaUko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto
Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza
Lisu hamna kitu
Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Mtamfilisi Mbowe!! Kawamwaga wengi sana mitandaoni japo haimsaidiiTundu Lissu hana mvuto wa Mwenyekiti wa Chama makini!
Anaweza kuongoza CHADEMA maana huko kumejaa watu wengi " wanaongea ongea" na kufikiri baadaye!
Chama makini hakiwezi kumchagua Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti.
Ni msema hovyo , hajui aseme nini wapi na kwa akina nani!!
Anaweza kuhojiwa na Mwanahabari chizi na bado akafunguka utadhani Kuna nati zimelegea kichwani kwake!!
Huyu si bure kuna kitu na Lissu!! Amemuandama hatari!!Una gubu kama mwanamke wa uswahilini.
Nani amekuambia JF ni jukwaa la wajinga? Umeleta ujinga usipstahili kuwepo.Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Huyu mleta mada, kwa vyovyote ana akili na upeo wa chini sana. Hata kujiita malaria, hue da hiyo malaria ilipanda akilini alipougua, ikamwachia ulemavu wa kudumu!!Low IQ ndio inakusumbua.
Ukijumlisha na wivu wa kike.
Mimi kwetu Oman, pia maaskofu na mapadri wa ulaya wanaongoza kwa ushoga na kulawiti watoto ktk makazi ya waleziUna vinasaba vya ushoga wewe unataka mwanume mwenzako akuvutie nini sasa? Na huko kwenu Zanzibar ushoga umeshika kasi na kuipiku Mombasa bila shaka wewe uko sokoni kutafuta basha.
Anzisheni jukwaa la mapunguani ili muwe mnasifiana na kushindana kumpata mjinga na pu guani zaidiUko sahihi
Siyo kweli. Nchi zinazoingoza kwa ulawiti, ninchi za kiarabu. Wazungu wanaoongoza kwa kuweka wazi.Mimi kwetu Oman, pia maaskofu na mapadri wa ulaya wanaongoza kwa ushoga na kulawiti watoto ktk makazi ya walezi
Ubwege wake ni upi. Unasema "angekufa" ndiyo hajafa Sasa.Angekufa bwege huyo, msifurahie.
Malaria hiyo mimba ya TAL hujajifungua tuMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Kwahiyo bwana wako mbowe kusemwa na lisu imekuuma snHebu ,nimsaidie kujibu mleta maada muulize Lisu kwa nini muda wote alikuwa akimsema vibaya Mbowe na kumdhalilisha alimkomkosea nini?
Daah unamfananisha lissu na mama yenu! Utakua na matatizo ya ubongo.Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Bado ni mapema. Huyu mgonjwa wa malaria kama amem-miss Tundu Antipas Lissu asubiri Oktoba 2025 ataziona rangi halisi za Lissu.Mbona mapema sana?
Kwa kigezo kipi mkuuMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.