Lissu hana mvuto wa Uwenyekiti

Lissu hana mvuto wa Uwenyekiti

Tundu Lissu hana mvuto wa Mwenyekiti wa Chama makini!
Anaweza kuongoza CHADEMA maana huko kumejaa watu wengi " wanaongea ongea" na kufikiri baadaye!
Chama makini hakiwezi kumchagua Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti.
Ni msema hovyo , hajui aseme nini wapi na kwa akina nani!!
Anaweza kuhojiwa na Mwanahabari chizi na bado akafunguka utadhani Kuna nati zimelegea kichwani kwake!!
Sawa, tumekuelewa ndo maana Chama makini kimemchagua mzee wa ubwabwa Cha Chaumma
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Kweli kabisa lisu kwenye uenyekiti tayari amepwaya, huyu alichaguliwa kiushabiki zaidi na huo ushabiki ukavalishwa kofia ya demokrasia.
 
Mimi kwetu Oman, pia maaskofu na mapadri wa ulaya wanaongoza kwa ushoga na kulawiti watoto ktk makazi ya walezi
Kwa hiyo ndiyo maana umeamua kukigawa kipira chako kama njugu za kuonja siyo? Kafir mkubwa wewe , dini zote zinakataza huo uchafu.
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Sisi hatutaki mvuto
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Wewe sio Malaria 2 inayokusumbua, pia una element za u (KE)
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Zio lazima Lissu akupe mbegu kama hakuvutii, unaweza kuendelea na Mbowe mwenye mvuto
 
Lisu ni mwanaharakati na sio mwanasiasa hio cheo kinataka mwanasiasa
Mwanasiasa ndo huyo aliyeshindwa na Mwanaharakati?

Si mlisema wenyewe kuwa zikaamue Kura? Haya Kura zimeamua inakuwaje mnalialia tena!?

Wewe ni umbwa.
 
mvuto upi alionao unautaka? eleza tu usituonee aibu - mahali tutaleta.
 
Mvuto kwani anatafuta mchumba au wewe mkewe useme hana mvuto?
 
Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.

Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye Chai- JK NYERERE
 
Uko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto

Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza

Lisu hamna kitu

Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Ndugu sijawahi kuuzulia mkutano wowote wa kisiasa lakini lissu akiitisha mkutano dar nitabeba familia yangu yore
 
Uko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto

Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza

Lisu hamna kitu

Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Mnapenda wanaume wenye mvuto?.
 
Back
Top Bottom