LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Sawa, tumekuelewa ndo maana Chama makini kimemchagua mzee wa ubwabwa Cha ChaummaTundu Lissu hana mvuto wa Mwenyekiti wa Chama makini!
Anaweza kuongoza CHADEMA maana huko kumejaa watu wengi " wanaongea ongea" na kufikiri baadaye!
Chama makini hakiwezi kumchagua Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti.
Ni msema hovyo , hajui aseme nini wapi na kwa akina nani!!
Anaweza kuhojiwa na Mwanahabari chizi na bado akafunguka utadhani Kuna nati zimelegea kichwani kwake!!
Kweli kabisa lisu kwenye uenyekiti tayari amepwaya, huyu alichaguliwa kiushabiki zaidi na huo ushabiki ukavalishwa kofia ya demokrasia.Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Kwa hiyo ndiyo maana umeamua kukigawa kipira chako kama njugu za kuonja siyo? Kafir mkubwa wewe , dini zote zinakataza huo uchafu.Mimi kwetu Oman, pia maaskofu na mapadri wa ulaya wanaongoza kwa ushoga na kulawiti watoto ktk makazi ya walezi
Na yule mshamba wa uongozi alyesukumizowa urais halafu ukamshindaMtanzania pekeee asie mwanajeshi aliepigwa risasi 32 ; 16 zikamuingia mwilini sijui kwanini alipigwa mijirisasi yote hiyo.
Sio wa Kike ni wivu wa kijinga.Ukijumlisha na wivu wa kike.
Sisi hatutaki mvutoMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Wewe sio Malaria 2 inayokusumbua, pia una element za u (KE)Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Zio lazima Lissu akupe mbegu kama hakuvutii, unaweza kuendelea na Mbowe mwenye mvutoMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Mwanasiasa ndo huyo aliyeshindwa na Mwanaharakati?Lisu ni mwanaharakati na sio mwanasiasa hio cheo kinataka mwanasiasa
Yetu macho uenyekiti sio singeliMwanasiasa ndo huyo aliyeshindwa na Mwanaharakati?
Si mlisema wenyewe kuwa zikaamue Kura? Haya Kura zimeamua inakuwaje mnalialia tena!?
Wewe ni umbwa.
Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye Chai- JK NYEREREMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Ndugu sijawahi kuuzulia mkutano wowote wa kisiasa lakini lissu akiitisha mkutano dar nitabeba familia yangu yoreUko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto
Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza
Lisu hamna kitu
Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Mnapenda wanaume wenye mvuto?.Uko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto
Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza
Lisu hamna kitu
Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Aiseee! "LOW IQ ndiyo inayomsumbua Malaria2, ukijumlisha na WIVU wa KIKE".Low IQ ndio inakusumbua.
Ukijumlisha na wivu wa kike.
Sijawahi kuwaza kama huyo bibie ni mwanaume. HAPANA. Uandishi wake, mihemuko, ushambenga wake, KUTAMANI MVUTO wa mwanaume nk, kunafunua kuwa huyo ni mama.Mwanaume mwenzako akuvutie kwa Nini ?