stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Mkuu, umejiandaaje kupokea hotuba kabambe ya m/kiti wa cdm taifa mh Tundu Lissu.Hebu ,nimsaidie kujibu mleta maada muulize Lisu kwa nini muda wote alikuwa akimsema vibaya Mbowe na kumdhalilisha alimkomkosea nini?
Ndio mpo semina ya kumkabili lissu. 🙄😄Uko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto
Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza
Lisu hamna kitu
Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu
Endelea kumuota mbowe ndo bac tenaMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Kama Lissu hana mvuto kaolewe na huyu hapa handsome boyMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Utakuwa na chuki na hao watuUzi unamuhusu Lissu ajabu umetaja
Wasira,
Samia,
Mbowe
Una shida gani kichwani
Kizazi cha 2000+ ndio shida yenu!Makamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
CHADEMA WAMEINGIZWA CHAKAMakamo mwenyekiti anatakiwa awe msemaji sana, mzungumzaji sana na mpiga vijembe sana kama vile Wasira au lissu alivyokuwa makamo.
Mwenyekiti anatakiwa awe mtulivu sana na kuzungumza kama mama Samia na mbowe alipokuwa mwenyekiti.
Lissu kwa nafasi alionayo uenyekiti amepwaya sana.
Uko sahihi anayebisha ni mjinga kabisaUko sahihi .Lisu hana mvuto wala haiba ya uenyekiti,hana akili wala uwezo wa kuweza hicho cheo iwe kiakili,kiuongozi,kifedha kiutawala na ki mvuto
Chadema wamechemka mno kumuweka
Ushahidi kwa yeyote anayebisha aitishe hata mkutano wa hadhara tu mmoja tu Dar wa kujitambulisha kama ndie mwenyekiti mpya wa Chadema akipata wahudhuriaji mia huo mkutano ni muujiza
Lisu hamna kitu
Ndio maana hata hotuba akitaka kutoa anakimbilia mitandaoni sio mikutano ya hadhara kukwepa aibu