kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kazi ziko nyingi sana zakufanya sio siasa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayakuhusu wewe nenda kwenye mihadhara ya kutukana Ukristo ndiyo saizi yako. Mtu wa CCM kutwa unamshambulia Lissu utafikiri kakugongea mkeo.Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"
Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.
Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.
Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.
Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
Waafrika mna wivu wa kijinga sana.Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"
Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.
Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.
Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.
Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
Huyo Ustaadh uchwara mpumbavu sana eti naye amekuwa chawa wa Mbowe, maccm wanampambania sana Sultan Mbowe..Yaani wajimalize kisiasa kutomuunga mkono mbowe?😂😂
Duh, watu huwa wanabadilika wengine kuwa waadilifu, kupigania taifa na wengine kuwa wezi, wabadhirifu na wahuni wakipata nafasi.Bro huyo Heche nimesoma nae miaka mitatu. Sio kama unavyomfikiria
Ukiristo wapi umetukanwa? Mkiambiwa Yesu sio Mungu kwa mujibu wa Biblia ndii kutukanwa?Hayakuhusu wewe nenda kwenye mihadhara ya kutukana Ukristo ndiyo saizi yako. Mtu wa CCM kutwa unamshambulia Lissu utafikiri kakugongea mkeo.
Huyo Ustaadh uchwara mpumbavu sana eti naye amekuwa chawa wa Mbowe, maccm wanampambania sana Sultan Mbowe
Na wewe uchawa kwa Mbowe umekutoa akili,bwege wewe.Matusi ya nini? Maria space imeharibu ubongo team Lissu
Na nyie mkiambia Mudi alikuwa muuaji na mbakaji mnatoa povu.Ukiristo wapi umetukanwa? Mkiambiwa Yesu sio Mungu kwa mujibu wa Biblia ndii kutukanwa?
Na hii ndiyo nia kuu ya CCM. Mnataka Lissu na watu wema wajitoe Chadema ili Chadema kife rasmi.Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"
Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.
Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.
Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.
Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
umekuja kivingine.Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"
Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.
Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.
Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.
Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
Na hii ndiyo nia kuu ya CCM. Mnataka Lissu na watu wema wajitoe Chadema ili Chadema kife rasmi.
Mlifanya kwa NCCR mkafanikiwa,mlifanya kwa CUF mkafanikiwa na naona saivi mnataka kufanya na kwa Chadema.
Ila kama Mungu alivyo hai nawahakikishia hii ndoto yenu haitatimia maana hata watu wanaowasaidia kufanya hiyo mipango wamewachoka.
Mwijaku,MUSIBA huwa wanafanya hivyo pia usisahau.Eti Heche nae ana press conference leo! Ahahahahaha!!
Kimaria space?umekuja kivingine.
Hukushangaa ya Wenje uje ushangae ya Heche? Huyo Wenje hata hajulikani ukilinganisha na Heche.Eti Heche nae ana press conference leo! Ahahahahaha!!
Heche mlengo wa maria space , ndio utampoteza ktk siasaHukushangaa ya Wenje uje ushangae ya Heche? Huyo Wenje hata hajulikani ukilinganisha na Heche.
Ukisoma nae miaka mitatu ndio unamjua? Baada ya kumaliza kusoma nae Ukiendelea kuishi nae? Au yeye ni jiwe habadiliki?Bro huyo Heche nimesoma nae miaka mitatu. Sio kama unavyomfikiria
Si leo ana press hapa Jijini Mwanza? Ebu mtonye mwandishi mojawapo amuulize pesa za EDUCHE!Duh, watu huwa wanabadilika wengine kuwa waadilifu, kupigania taifa na wengine kuwa wezi, wabadhirifu na wahuni wakipata nafasi.
Ni mtu wa aina gani unavyomfahamu?
Kama viongozi wa CCM ama?Mwijaku,MUSIBA huwa wanafanya hivyo pia usisahau.
Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"
Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.
Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.
Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.
Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa