Lissu, Heche na Lema mnataka mtumie "ulipo tupo"? Mnaenda kujimaliza kisiasa

Lissu, Heche na Lema mnataka mtumie "ulipo tupo"? Mnaenda kujimaliza kisiasa

Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"

Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.

Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.

Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.

Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
IPE credit source Yako 😄😄
 
Hawa jamaa watashangaa, wajifunze kwa Dr. Slaa ambaye hata wote watatu + msigwa wakiungana hawafikii nguvu na ushawishi aliokuwa nao Dr.
Yaani Heche, Lissu, Lema, Msigwa wotee hawamfikii Dr Slaa enzi zake.

Tunakumbuka alipomaliza press yake tu ya choo kuletwa sebureni ( yaani EL kuja CDM) watu walitegemea CDM imefika.mwisho - wapi ndugu.
Sasa tusubiri ya hawa jamaa wa Clubhouse!!
Kutoka 2015 mpaka sasa nimiaka 10 kasoro miezi. nyakati zinabadilika watu wengi wanaomuunga mkono Lissu nikizazi cha 90 ambapo sasa Wana miaka 25-35.
 
Hukushangaa ya Wenje uje ushangae ya Heche? Huyo Wenje hata hajulikani ukilinganisha na Heche.
Mpaka sasa wanachadema wote wamemuogopa Wenje kwenye Umakamu Mwenyekiti. Inaaminika hata Lissu kuacha kugombea Umakamu Mwenyekiti ni hofu ya kushindwa na Wenje kaona bora akashindwe na Mbowe! Ahahahahaha!!!!
 
Hawa jamaa watashangaa, wajifunze kwa Dr. Slaa ambaye hata wote watatu + msigwa wakiungana hawafikii nguvu na ushawishi aliokuwa nao Dr.
Yaani Heche, Lissu, Lema, Msigwa wotee hawamfikii Dr Slaa enzi zake.

Tunakumbuka alipomaliza press yake tu ya choo kuletwa sebureni ( yaani EL kuja CDM) watu walitegemea CDM imefika.mwisho - wapi ndugu.
Sasa tusubiri ya hawa jamaa wa Clubhouse!!
Umefikiria lakini kama nguvu na muungano wa hao uliowaunganisha plus wengineo uliwezesha kufeli kwa huyo Dk. Slaa? Kila mmoja hapo alikuwa na upepo si haba.

Leo hii wakitoka wote hao pengo lao halitoweza kuonekana?

Ila kwa uzezeta wa watanzania, si ajabu kweli CDM ya Mbowe na uchafu wake wote (ikiwemo uwakala wake wa sisiem) bado inaweza kuendelea kudunda!
 
Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"

Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.

Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.

Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.

Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
Ujinga ni pale unaposahau kuwa Heche ni mtu makini. Ni mwenyekiti mstaafu wa BAVICHA.
 
Umefikiria lakini kama nguvu na muungano wa hao uliowaunganisha plus wengineo uliwezesha kufeli kwa huyo Dk. Slaa? Kila mmoja hapo alikuwa na upepo si haba.

Leo hii wakitoka wote hao pengo lao halitoweza kuonekana?

Ila kwa uzezeta wa watanzania, si ajabu kweli CDM ya Mbowe na uchafu wake wote (ikiwemo uwakala wake wa sisiem) bado inaweza kuendelea kudunda!
Ukweli ndiyo huo, hutaki hamia TLP na jamaa zako mkajenge chama.
 
Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"

Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.

Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.

Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.

Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
Kumbe kwenye mambo ya siasa upo vizuri
 
Nyie ni wanafiki wakubwa. Yaani watu mnajua kuongea maneno mengi yasiyo na maana yoyote na kila wakati mnaona jinsi kila moja asivyofaa wakati nyie hatujaona kufaa kwenu.

Kwa nini basi nyie mnaofaa msianzishe vyama vyenu ili muiondoe hii saratani ya ccm iliyoiua nchi yetu kuliko kuwa nyota wa kujikunja tu kwenye keyboard na kukosoa wengine. Bure kabisa.
 
TAL km anatka kusimama kisiasa asajili chama kipya

zito aliweza kusimama kisiasa vzr tu mpk ameacha uongozi Kwa heshima dkt slaa huwez kumlinganisha na TAL

kwasababu TAL ana mtaji wa.wtu wengi wao ni wanatk mageuz ndani ya upzan wko tayr kupata viongoz wenye mitazomo ya uendeshaji upizani kisiasa Zaid lkn wanakosa viongozi wenye uthubutu TAL sifa hio uthubutu anayo


Sasa dkt slaa alichokifanya hakikupokelewa na wananchi km maamuzi yk yalikuwa na maslah ya upizani Kwa wkt ule alionekna mbinafs Zaid
Sikubaliani na eti TAL atapotea kisiasa akitoka cdm akubali kusajili chama km zito asije kibali kuingia chama kingine Cha upizani huo itakua mwisho wa kisiasa lkn anzishe chama aachane na kikoba Cha wachaga
 
Back
Top Bottom