Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,723
- 2,358
Nitamsikiliza.Si leo ana press hapa Jijini Mwanza? Ebu mtonye mwandishi mojawapo amuulize pesa za EDUCHE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitamsikiliza.Si leo ana press hapa Jijini Mwanza? Ebu mtonye mwandishi mojawapo amuulize pesa za EDUCHE!
IPE credit source Yako 😄😄Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"
Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.
Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.
Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.
Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
Kutoka 2015 mpaka sasa nimiaka 10 kasoro miezi. nyakati zinabadilika watu wengi wanaomuunga mkono Lissu nikizazi cha 90 ambapo sasa Wana miaka 25-35.Hawa jamaa watashangaa, wajifunze kwa Dr. Slaa ambaye hata wote watatu + msigwa wakiungana hawafikii nguvu na ushawishi aliokuwa nao Dr.
Yaani Heche, Lissu, Lema, Msigwa wotee hawamfikii Dr Slaa enzi zake.
Tunakumbuka alipomaliza press yake tu ya choo kuletwa sebureni ( yaani EL kuja CDM) watu walitegemea CDM imefika.mwisho - wapi ndugu.
Sasa tusubiri ya hawa jamaa wa Clubhouse!!
Mpaka sasa wanachadema wote wamemuogopa Wenje kwenye Umakamu Mwenyekiti. Inaaminika hata Lissu kuacha kugombea Umakamu Mwenyekiti ni hofu ya kushindwa na Wenje kaona bora akashindwe na Mbowe! Ahahahahaha!!!!Hukushangaa ya Wenje uje ushangae ya Heche? Huyo Wenje hata hajulikani ukilinganisha na Heche.
Maria team?Kutoka 2015 mpaka sasa nimiaka 10 kasoro miezi. nyakati zinabadilika watu wengi wanaomuunga mkono Lissu nikizazi cha 90 ambapo sasa Wana miaka 25-35.
Kwani ili ufanye mkutano na waandishi wa habari mpaka uwe kiongozi wa siasa?Kama viongozi wa CCM ama?
Umefikiria lakini kama nguvu na muungano wa hao uliowaunganisha plus wengineo uliwezesha kufeli kwa huyo Dk. Slaa? Kila mmoja hapo alikuwa na upepo si haba.Hawa jamaa watashangaa, wajifunze kwa Dr. Slaa ambaye hata wote watatu + msigwa wakiungana hawafikii nguvu na ushawishi aliokuwa nao Dr.
Yaani Heche, Lissu, Lema, Msigwa wotee hawamfikii Dr Slaa enzi zake.
Tunakumbuka alipomaliza press yake tu ya choo kuletwa sebureni ( yaani EL kuja CDM) watu walitegemea CDM imefika.mwisho - wapi ndugu.
Sasa tusubiri ya hawa jamaa wa Clubhouse!!
Dah!Kwani ili ufanye mkutano na waandishi wa habari mpaka uwe kiongozi wa siasa?
EDUCHE ndio niniSi leo ana press hapa Jijini Mwanza? Ebu mtonye mwandishi mojawapo amuulize pesa za EDUCHE!
Mfuko wa lissu?EDUCHE ndio nini
It's a code dude!EDUCHE ndio nini
Ujinga ni pale unaposahau kuwa Heche ni mtu makini. Ni mwenyekiti mstaafu wa BAVICHA.Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"
Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.
Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.
Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.
Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
Ukweli ndiyo huo, hutaki hamia TLP na jamaa zako mkajenge chama.Umefikiria lakini kama nguvu na muungano wa hao uliowaunganisha plus wengineo uliwezesha kufeli kwa huyo Dk. Slaa? Kila mmoja hapo alikuwa na upepo si haba.
Leo hii wakitoka wote hao pengo lao halitoweza kuonekana?
Ila kwa uzezeta wa watanzania, si ajabu kweli CDM ya Mbowe na uchafu wake wote (ikiwemo uwakala wake wa sisiem) bado inaweza kuendelea kudunda!
SawaUkweli ndiyo huo, hutaki hamia TLP na jamaa zako mkajenge chama.
Wanasheria ndio wanasiasa?
Watanzania bara sio wa kuwaamini ktk siasa. Unaweza ukajikuta unatokemea peke yako kama Msigwa
Kumbe kwenye mambo ya siasa upo vizuriWakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga"
"ulipo tupo"
Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf imekufa na ACT ndio inayoonekana.
Hii kwa sababu Maalim ni gwiji la siasa, amesomea political science UDSM, ni mtu aliekubalika Zanzibar na duniani.
Heche, LEMA, LISSU
Lema siasa yake ni uzoefu sio ya kusoma darasani. Heche kilichomnyanyua kisiaasa ni kelele na ukali bungeni. Lkn nakumbuka uchaguzi mmoja alishindwa na Ester matiko, Mbowe akambeba kumueeka kamati kuu. Lissu mwanasheria aliebobea sio mwanasiasa msomi.
Siasa za Tanzania Bara ni tofauti, watu wanajali zaid maslahi fedha , unaweza ukajikuta na wanachama 10. Mnaweza kuhamia CHAUMA Mkajikuta mnatengenezewa mgogoro ndani ya CHAUMA mkahangaika nao, Mnakataka kuhamia ACT nako mkakwama.
Ushauri wangu: Tulieni msisikilize mihemko ya mitandaoni itakupotezeni kisiasa
Sasa kati ya dj na Heche, wewe unaweza kwenda na nani?.Eti Heche nae ana press conference leo! Ahahahahaha!!
TAL km anatka kusimama kisiasa asajili chama kipya
zito aliweza kusimama kisiasa vzr tu mpk ameacha uongozi Kwa heshima dkt slaa huwez kumlinganisha na TAL
kwasababu TAL ana mtaji wa.wtu wengi wao ni wanatk mageuz ndani ya upzan wko tayr kupata viongoz wenye mitazomo ya uendeshaji upizani kisiasa Zaid lkn wanakosa viongozi wenye uthubutu TAL sifa hio uthubutu anayo
Sikubaliani na eti TAL atapotea kisiasa akitoka cdm akubali kusajili chama km zito asije kibali kuingia chama kingine Cha upizani huo itakua mwisho wa kisiasa lkn anzishe chama aachane na kikoba Cha wachagaSasa dkt slaa alichokifanya hakikupokelewa na wananchi km maamuzi yk yalikuwa na maslah ya upizani Kwa wkt ule alionekna mbinafs Zaid
DJ ndio mwenye chama na kamwajiri Heche. Wewe ungeenda kwa nani?Sasa kati ya dj na Heche, wewe unaweza kwenda na nani?.
Yule dj angelikuwa karatasi basi lingekuwa la kuchambia