Lissu, Heche na Lema mnataka mtumie "ulipo tupo"? Mnaenda kujimaliza kisiasa

Umeongelea hisia zako ambazo ni tofauti kabisa na uhalisia.
Jiulize:

1) Nyerere alisomea political science?

2)Mandela alisomea political science?

3) Obama alisomea political science?

4) Raila Odinga alisomea political science?

5) Hichilema alisomea Political Science?

Ukipata majibu ya maswali hayo, rudi uijenge hoja yako mpya, kwa sababu haina ukweli wowote iwe wa kisayansi, kihistoria au kiuhalisia.
 
Wewe waache wavimbe vichwa halafu waje kuona mavuno yake.kikubwa ni lazima wakubali ya kuwa hawawezi kushindana na Mwamba na Jabali la siasa za upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe
 
Hao wote hawakuwa wanawatukana wajumbe na viongozi wao, walikuwa wakipingana nje ya vyama vyao. Hapa tunamfananisha Marehumu Seif vs Lissu , Lema na Heche. Mgogoro wao unafanana. Hapa unatakiwa utumie political science kuchomoka. Ujue pembeni ipo afisi ya msajili umeisahau mgogoro wa Cuf ilivyosimamia ?
 
DJ ndio mwenye chama na kamwajiri Heche. Wewe ungeenda kwa nani?
Kama ni chama cha DJ ndiyo tutajua kwenye uchaguzi huu, aking'ang'ania madaraka watu watamuacha peke yake. Muda utaongea.
 
Sikubaliani na eti TAL atapotea kisiasa akitoka cdm akubali kusajili chama km zito asije kibali kuingia chama kingine Cha upizani huo itakua mwisho wa kisiasa lkn anzishe chama aachane na kikoba Cha wachaga
Lissu yupo sana Chadema
 
Wewe waache wavimbe vichwa halafu waje kuona mavuno yake.kikubwa ni lazima wakubali ya kuwa hawawezi kushindana na Mwamba na Jabali la siasa za upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe
Wewe poyoyo ghafla uko kwa Mbowe wakati juzi tu ulikuwa unamkandia una umalaya wa kishamba sana
 

Attachments

  • Screenshot_20241218_213757.jpg
    195.1 KB · Views: 2
Maalim alikuwa na nguvu kisiasa kwa sababu nyingi, moja ya kihistoria, ubaguzi kwa wapemba, utetezi wa uzanzibari. Lissu hakuna anachosimamia, na hana community iliyoapata kufa naye kama ilivyokuwa kwa maalim
Lissu alikua anawatetea wananchi Bure huko kwao IKUNGI kutojana na michango ya lazima ya Kijiji na nbio za mwenge na usipoa mifugo Yako inachukuliwa. Alifanya haya kabla ya hata kuwa mbuge.
 
After all, wakijimaliza wewe utapata tabu gani.
 
Wewe poyoyo ghafla uko kwa Mbowe wakati juzi tu ulikuwa unamkandia una umalaya wa kishamba sana
Ukiona watu waliokuwa wanamponda Mbowe hapo kabla sasa hivi wanamuunga mkono basi ujue ni walewale machawa wa ccm. That's all.
 
Siasa ni mtaji wa watu ulionao.

Kwa sasa alipofikia Lisu ni Sawa na alipofikia maalim Seif .

acha kumfananisha Maalim Seif na vitu vyengine, Mitaa ya uswahilini Mkoani tanga nilishuhudia siku ya pili baada ya kutangaza kuhamia ACT maskani na matawi ya CUF yote yakageuka Zambarau, Jamaa alikuwa mtu mwengine kabisa.
 
Ndivyo mnavyoambiwa kwenye mimbari ya msikiti wa manyema?
 
Unamtishq nani sasa. Sisi tunamwachia saccos yake mbowe imfie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…