Pre GE2025 Lissu jitokeze ukanushe habari za Msigwa kugharamia Press ya kutangaza nia, vinginevyo umekwisha

Pre GE2025 Lissu jitokeze ukanushe habari za Msigwa kugharamia Press ya kutangaza nia, vinginevyo umekwisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
Kelele za wajinga, wanafiki, waongo zipo nyingi na zipo kila siku. Lisu atawajibu wangapi na mara ngapi?

Anayetoa tuhuma, kama ni za kweli, aweke uthibitisho. Lakini Lisu asipoteze muda wake kujibu kila kelele ya mnafiki, punguani anayefurahisha genge.
 
Kwa kusoma trend ,nashawishika kuamnini ameratibiwa kuandaa press na mtu au watu wa upande ule
Ukiwa mjinga utaamini hivyo. Mjinga anaweza kuropoka chochote, wenye akili ndio wenye jukumu la kupuuza au kuzingatia. Hao waliotoa tuhuma ni watu wendawazimu, wangekuwa na akili japo kidogo wangeleta uthibitisho au vielelezo vya kuthibitisha maneno yao. Kwa sasa tunaamini walichokifanya ni uropokaji wa kutaka kujua kama kuna watu wasio na akili watakaozingatia uropokaji wao.

Lisu angekuwa amepewa pesa na hao ambao mnawasema, asingehangaika kuomba watu wasaidie kugharamia kikao chake.

Fuatilia historia ya Lisu. Tangu kale hadi sasa, hakuna mtu aliyewahi kuthibitisha Lisu aliwahi kutumia au kupokea hongo toka kwa mtu au taasisi yoyote ile. Na hiyo imemfanya awe mtu huru wa fikra na misimamo yake wakati wote.
 
Yaani kutangaza nia nako mpaka walipie. Msigwa kawa Don siku hizi kumbe.
Hayo ni maneno ya wanafiki punguani. Wangekuwa na akili japo kidogo wanfetengeneza uwongo unaokaribiana na ukweli kuliko huu ambao hata mtoto anayeanza kujua masuala ya siasa, anajua ni uwongo.

Mtu anaropoka bila ya kuweka kielelezo hata cha kugusha halafu anaamini kuna ounguani kama yeye watakaoamini!!
 
Hoja hapa Lissu ajibu pesa za press kazipata wapi?? kama kachamgiwa na wanachama aonyeshe uthibitisho maana yeye ni mwanasheria, tunaanzia hapo kwanza.
Kwa maswali ya kijinga kama haya, kuna siku punguani watataka Lisu aseme hela ya chakula amepata wapi!!! Tena watu wengi punguani nchi hii. Ndiyo maana hata wakipanga uwongo, nao unakuwa umekaa hivyo hivyo, kipunguani punguani!!
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
Akikujibu mm ntamdharau sana lissu
 
Kwa maswali ya kijinga kama haya, kuna siku punguani watataka Lisu aseme hela ya chakula amepata wapi!!! Tena watu wengi punguani nchi hii. Ndiyo maana hata wakipanga uwongo, nao unakuwa umekaa hivyo hivyo, kipunguani punguani!!
Mchezo hautaki hasira huu, kwa hiyo unatetea kwamba hakuna haja ya yeye kusema hela za Press kazitoa wapi siyo!!
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
Brother usiingizwe chakike kirahisi hivyo na chama chawala..
 
Hata kama! Kwani Msigwa sio mtanzania? Acheni vioja vijana toeni hoja angalau tuonekane watanzania tuna hata nusu ti ya akili! Mnatufanya taifa zima tuonekane idiots sio embeciles tena, mnatushusha sana uvccm! Tunaona aibu kujiita watanzania huko nie kwa hiki kizazi dah🤮🤮🤮😭
Japo suala la Msigwa kuchangia ni uzushi lakini kama ingakuwa kweli basi hilo lingekuwa ni tatizo, Msigwa ni enemy wa mabadiliko na anafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuangusha/kuchafua CHADEMA sasa anawezaje kuchangia kama si kwa nia ovu?
Angalizo: Msigwa hajachangia hata Senti.
 
Kelele za wajinga, wanafiki, waongo zipo nyingi na zipo kila siku. Lisu atawajibu wangapi na mara ngapi?

Anayetoa tuhuma, kama ni za kweli, aweke uthibitisho. Lakini Lisu asipoteze muda wake kujibu kila kelele ya mnafiki, punguani anayefurahisha genge.
Msigwa anamuendesha Lissu kwa remote popote alipo
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
Yaani Msigwa wa kumgharamia Lissu😃.
Looks like siku hizi Chakaza ameanza Kuchakazwa na wenzake.
Akishajibia hiyo scandal mliyoitengeneza mtakuja na ipi nyingine? Kwanini usimuulize huyo aliyekwambia akuthibitishie?
 
Kajinga kalikoandika hii post.
Better tundu Lisu kuliko Mbowe,
Kwa akili safi kikanuni, Kisheria na maadili, Tundu lisu angekuwa Mwenyekiti wa chama enzi za 2015, Marehemu Lowassa asingepeperusha bendera ya chama aishie kukifukia kabisa,
Badala yake Dr. Slaa angekipeperusha kikakae mawinguni.
Tundu Lissu ni wazi ndio mwenyekiti ajaye.
Katika uozo uliowahi kuwa pale CHADEMA ni huyo two headed serpent Slaa, duniani anza kuogopa mtu mnafiki. Alichokifanya baada ya kununuliwa hana tofauti na Msigwa. Pamoja na kwamba kumchukua Lowassa kwa sababu ya ushawishi aliokuwa wakati ule na akawasaidia kuongeza idadi ya wabunge siamini kama ulikuwa ni uamuzi sahihi kwani faida ilikuwa kubwa lakini Lowassa hakuwa stable yaani ile kutikiswa kidogo tu na Mwendakuzimu akaufyata mkia japo hajawahi kuporomosha shutma kwa nia ya kuhujumu CHADEMA kama ilivyofanywa na Slaa pamoja na mwenzake Msigwa.
 
Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?
Msigwa hana hela, amechoka na kufubaa kama dekio la chooni.

Mm nwmdai Msigwa hela ya gunia 3 za mkaa na trey za mayai 10.
 
Wachagga hamnaga akili kabisa 😂

Lisu anajaza Mafuta kwenye Prado daily ashindwe vijisenti vya kale kaukumbi 😀😀
Ukumbi ulichangiwa japo si na yule mwehu Msigwa, diaspora ni watu wenye exposure hivyo wanajua faida ya mageuzi.
 
Sasa haya ndio majibu yaliyo paswa yajibiwe kutokana na hizo tuhuma zinazoletwa mitandaoni sio kunishambulia mimi niliye shauri majibu yatolewe.
Mnadhani kwenye uchaguzi mpiga kura kutoka kule Katavi au Nanjilinji asiye ujua ukweli akiambiwa Msigwa yule aliyetukana chama alimsaidia Lissu harakati zake atampa kura Lissu?
Watu wanavamia hoja kwa jazba bila tafakari
So unatutukana sisi wana Katavi sio?
 
Ukiwa mjinga utaamini hivyo. Mjinga anaweza kuropoka chochote, wenye akili ndio wenye jukumu la kupuuza au kuzingatia. Hao waliotoa tuhuma ni watu wendawazimu, wangekuwa na akili japo kidogo wangeleta uthibitisho au vielelezo vya kuthibitisha maneno yao. Kwa sasa tunaamini walichokifanya ni uropokaji wa kutaka kujua kama kuna watu wasio na akili watakaozingatia uropokaji wao.

Lisu angekuwa amepewa pesa na hao ambao mnawasema, asingehangaika kuomba watu wasaidie kugharamia kikao chake.

Fuatilia historia ya Lisu. Tangu kale hadi sasa, hakuna mtu aliyewahi kuthibitisha Lisu aliwahi kutumia au kupokea hongo toka kwa mtu au taasisi yoyote ile. Na hiyo imemfanya awe mtu huru wa fikra na misimamo yake wakati wote.
Yericko Nyerere nafahamiana nae ,mpaka amesema hili hadharani ,silichukulii kimasihara
 
Japo suala la Msigwa kuchangia ni uzushi lakini kama ingakuwa kweli basi hilo lingekuwa ni tatizo, Msigwa ni enemy wa mabadiliko na anafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuangusha/kuchafua CHADEMA sasa anawezaje kuchangia kama si kwa nia ovu?
Angalizo: Msigwa hajachangia hata Senti.
Mchango ni mchamgo tu ndugu as long aa hauna masharti, kwa hiyo msigwa qkimchangia vimilioni kadhaa ndo anaweza kumnunua simba? Unajua hawa vijana wa 2000 wamezaliwa wakamkuta Lissu kamaliza zile mission zake za ujanani! Wameshindwq marais tangu mkapa then jiwe akaona yeye kuua tu ndo solution so hata hata msigwa angechanga bado ingekua ni sawa tu na kumchangia mwamposa
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
Hujaeleza hizo taarifa za Msigwa kumwendesha Lissu umezipata wapi mkuu 'Chakaza'? Huoni kuwa na wewe unaweza kuwa unatumiwa tu kusambaza mikanganyiko ndani ya chama?

Kinacho nishangaza ni kwa mtu kama Msigwa naye sasa kupewa hadhi kubwa asiyo kuwa na uwezo nayo!

Kama "unamwamini sana" kwa nini uwe na mchecheto kiasi hiki na jambo ambalo halina mshiko kama hili?

Mimi nitaungana na wewe; kwamba, huko mbele ya safari, "urafiki" wa Lissu na huyo Msigwa isiwe sababu ya mtu mbovu kama huyo kumshirikisha tena katika maswala ya chama au serikali wakati akisha tupwa kama takataka huko CCM aliko kimbilia. Huyu Msigwa amejijengea hadhi ile ile waliyo jitafutia wale mabinti 19; ambao pia hawafai kabisa kuingizwa kwenye shughuli zozote za chama au serikali.
 
Back
Top Bottom