Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atajitokeza mara ngapi kwa kila uzushi jaribu basi kutumia akili hata kisodaWewe ni mjinga kumbe? Unawezaje kuniita mpumbavu au chawa wa Mbowe?
Kwa taarifa yako mtu mjinga ni kuwa mimi ni mtu ninaye Unga mkono mabadiliko ndani ya uongozi kidemokrasia hasa wakati huu.
Na sababu ya kumtaka ajibu uzushi huo ni kuwa sitaki Lissu wampoteze kwa sababu ya kufikiriwa kuwa ana uhusiano na Msigwa aliyekitukana Chama na akanyimwa kura pasipo ukweli wowote!
Sasa uchawa kwa Mbowe uko wapi hapo? Na pia Mbowe simpingi kwani kwa sasa ni mwenyekiti aliyechaguliwa na wana chadema hadi uchaguzi mwingine
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.
Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?
Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.
Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.
Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.
Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.
PEOPLES POWER!
Lissu amesema kuwa mojawapo ya dosari kubwa katika CHADEMA ni kutokuwa wazi katika mapato na matumizi yake. Kwa sababu hiyo anapaswa kuweka wazi alichokusanya na nani aliyemchangia na ametumia vipi nchango huo huo. Hivyo hivyo kwenye mchango wa gari lake. Ama sivyo ataonekana kuwa ni wale wale wanaosema hili lakini wanatenda hivi. Kalizua hili mwenyewe na atakiwa kujibu.Kelele za wajinga, wanafiki, waongo zipo nyingi na zipo kila siku. Lisu atawajibu wangapi na mara ngapi?
Anayetoa tuhuma, kama ni za kweli, aweke uthibitisho. Lakini Lisu asipoteze muda wake kujibu kila kelele ya mnafiki, punguani anayefurahisha genge.
Uko sahihi kabisa, nia ya thread ni kutaka hizo allegations zijibiwe na kufutika ili hisia chafu zisiwepo lakini humu ndani kwa vile idadi kubwa wanaendeshwa na mihemko badala ya akili wanadhani ametuhumiwa na mleta mada.Kwa kuwa mligharimia haiwezekani Msigwa nae kuchangia? Kama liliwekwa wazi mtandaoni tuwekeeni link ili na sisi tuone. Hii nchi imani kwa mwanasiasa yeyote imepungua sana hivyo mnapaswa ku counter allegations zozote zenye nia ya kumchafua mtu wenu. Mimi nilikataa kabisa kuwa Halima na wenzake wanaweza fanya waliofanya na sasa wako wapi! Sitaki kuamini kuwa Lissu anaweza kuwa kama wao lakini ninahitaji assurance kuwa sivyo. Simuamini Msigwa lakini ukiumwa na nyoka....
Amandla...
Umepiga kwenye mshonoAcha hizo
Mchungaji Msigwa ana madeni kibao ambayo analipiwa kidogo kidogo na ASAS Misasa
Kwa Sababu unaishi machame basi unadhani ukumbi wa Mlimani City ni wa gharama sana
Hapo tunafanyiaga sherehe za komunio ya kwanza 😀😀
Msigwa aonyeshe miamala ya kumtumia lisu fedhaMsigwa anamuendesha Lissu kwa remote popote alipo
Ungekuja na uthibitisho wa miamala inayoonyesha lisu katumiwa fedha na msigwa na baada ya hapo ungetaka lisu ajibuUko sahihi kabisa, nia ya thread ni kutaka hizo allegations zijibiwe na kufutika ili hisia chafu zisiwepo lakini humu ndani kwa vile idadi kubwa wanaendeshwa na mihemko badala ya akili wanadhani ametuhumiwa na mleta mada.
Kwa taarifa ni kuwa hapa anaungwa mkono Lissu kwa hatua yake na kinachofanyika ni kumlinda yeye.
Hoja ya kuwa Msingwa hana hela sio hoja, maana hata kama ametumwa kuratibu tuu ni kosa kubwa la kimkakati kwa timu ya Lissu.
Sasa kila lisemwalo ajitokeze kukanusha ataweza kweli????Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.
Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?
Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.
Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.
Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.
Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.
PEOPLES POWER!
Samahani nikisema huna akili ingawa ni kweli. Mimi ndiye nimesema? Nimemwambia awajibu wasemao hivyo ili uvumi huo usiendelee unaniuliza mie ushahidi? Usiukubali ukilaza ukakuzoea na kukuganda!Ungekuja na uthibitisho wa miamala inayoonyesha lisu katumiwa fedha na msigwa na baada ya hapo ungetaka lisu ajibu
Huna ushahidi wowote ajibu nini ni kama unarusha jiwe gizani
Wewe ni mpiga debeSamahani nikisema huna akili ingawa ni kweli. Mimi ndiye nimesema? Nimemwambia awajibu wasemao hivyo ili uvumi huo usiendelee unaniuliza mie ushahidi? Usiukubali ukilaza ukakuzoea na kukuganda!
Kwani Msigwa mmemnyanganya kadi ya Chama!?Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?
Hakuna sheria ya kumnyanganya mtu kadiKwani Msigwa mmemnyanganya kadi ya Chama!?
Basi watulie hivyo hivyo, Msigwa anapowaunga Mkono maana pesa za ruzuku zinaingia kwenye Akaunti binafsiHakuna sheria ya kumnyanganya mtu kadi
Watulie ili iweje yaani unataka waishi unavyotaka weweBasi watulie hivyo hivyo, Msigwa anapowaunga Mkono maana pesa za ruzuku zinaingia kwenye Akaunti binafsi
Kumbe wewe ndiye mbaya wao. Ha ha haaaaWatulie ili iweje yaani unataka waishi unavyotaka wewe
Kila upande wa haki ya kuongea hiyo ndo siasaKumbe wewe ndiye mbaya wao. Ha ha haaaa