mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 1,063
- 1,456
- Thread starter
- #21
😂😂😂CHAUMA ndio chama halisi la upinzani kwa sasa, hao wengine wachumia tumbo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂CHAUMA ndio chama halisi la upinzani kwa sasa, hao wengine wachumia tumbo tu
wanachoandika ni prediction tu zisizo na ukweliDuh! Tetesi zimezidi kuwa nyingi. Walisema atahamia chama cha ubwawa, leo mna tetesi anaenda nccr, je kesho mtakuja na tetesi ipi?
Hii inaenda kutimia mkuuwanachoandika ni prediction tu zisizo na ukweli
😂😂Mzee Mapesa kachoka sana anataka kumwingiza kwenye mfumo.
Chini ya jua vimeshindikana vitu viwili tu, Uzee na Kifo. Hayo mengine yote yanawezekana. Mfano jwtz wakiamua kumsupport lissu kwa 100% hata akiwa kwenye chama cha ubwawa, si anakuwa Rais Ajaye 2025.😂😂😂 aisee bongo hii hii?
uko sahihi na mbowe hashindi mbele ya lissu bila kufanya sarakasiEmbu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .
Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????
LISSU huyu huyu ambaye ameproov kua Sahihi kwenye masuala mengi hapa nchini .
Muda utazungumzawanachoandika ni prediction tu zisizo na ukweli
Dah probability ni ndogo sana. Labda SAU kama bado kipoChini ya jua vimeshindikana vitu viwili tu, Uzee na Kifo. Hayo mengine yote yanawezekana. Mfano jwtz wakiamua kumsupport lissu kwa 100% hata akiwa kwenye chama cha ubwawa, si anakuwa Rais Ajaye 2025.
Poll za mtandaoni labdauko sahihi na mbowe hashindi mbele ya lissu bila kufanya sarakasi
Usibishane na wajinga....Embu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .
Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????
LISSU huyu huyu ambaye ameproov kua Sahihi kwenye masuala mengi hapa nchini .
Hakuna cha probability wala nini kwani maaskari hawataki Ubwabwa? Kwa nini wasikiunge mkono chama cha ubwawa. Halafu Lissu akihamia kwenye chama cha ubwawa hana haja ya kampeni, mtu akila ubwawa ni kampeni toshaDah probability ni ndogo sana. Labda SAU kama bado kipo
Hawezi kufuga madevuDuh! Tetesi zimezidi kuwa nyingi. Walisema atahamia chama cha ubwawa, leo mna tetesi anaenda nccr, je kesho mtakuja na tetesi ipi?
Moderator msiruhusu nyuzi za uzushi kama hizi kuwepo jukwaani zinawaharibieni credibility yenu.Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.
Hakutakuwa na uchaguzi huru wala haki. Sasa ni dhamiri Mbowe anaoperate kwa staili zile zile za CCM na Dola yakeEmbu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .
Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????
LISSU huyu huyu ambaye ameproov kua Sahihi kwenye masuala mengi hapa nchini .