Tetesi: Lissu kuhamia NCCR Mageuzi mwezi February 2025. Selasini ajiandae.

Tetesi: Lissu kuhamia NCCR Mageuzi mwezi February 2025. Selasini ajiandae.

IMG-20250101-WA0000.jpg
IMG-20250101-WA0000.jpg
 
😂😂😂 aisee bongo hii hii?
Chini ya jua vimeshindikana vitu viwili tu, Uzee na Kifo. Hayo mengine yote yanawezekana. Mfano jwtz wakiamua kumsupport lissu kwa 100% hata akiwa kwenye chama cha ubwawa, si anakuwa Rais Ajaye 2025.
 
Embu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .

Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????

LISSU huyu huyu ambaye ameproov kua Sahihi kwenye masuala mengi hapa nchini .
uko sahihi na mbowe hashindi mbele ya lissu bila kufanya sarakasi
 
Chini ya jua vimeshindikana vitu viwili tu, Uzee na Kifo. Hayo mengine yote yanawezekana. Mfano jwtz wakiamua kumsupport lissu kwa 100% hata akiwa kwenye chama cha ubwawa, si anakuwa Rais Ajaye 2025.
Dah probability ni ndogo sana. Labda SAU kama bado kipo
 
Embu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .

Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????

LISSU huyu huyu ambaye ameproov kua Sahihi kwenye masuala mengi hapa nchini .
Usibishane na wajinga....



..Ni Hayo Tu!
 
Dah probability ni ndogo sana. Labda SAU kama bado kipo
Hakuna cha probability wala nini kwani maaskari hawataki Ubwabwa? Kwa nini wasikiunge mkono chama cha ubwawa. Halafu Lissu akihamia kwenye chama cha ubwawa hana haja ya kampeni, mtu akila ubwawa ni kampeni tosha
 
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.

Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.

Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.

Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.


Mod msiufute huu uzi.
Moderator msiruhusu nyuzi za uzushi kama hizi kuwepo jukwaani zinawaharibieni credibility yenu.
CC:-
JamiiForums
 
Embu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .

Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????

LISSU huyu huyu ambaye ameproov kua Sahihi kwenye masuala mengi hapa nchini .
Hakutakuwa na uchaguzi huru wala haki. Sasa ni dhamiri Mbowe anaoperate kwa staili zile zile za CCM na Dola yake
 
Back
Top Bottom