mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 1,063
- 1,456
- Thread starter
- #81
Lissu aende SAU ndio atavumaNinachofurahi tu ,wengi waliovuma wakiwa CHadema ,wakihamia vyama vingine tu wanapotea MAZIMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu aende SAU ndio atavumaNinachofurahi tu ,wengi waliovuma wakiwa CHadema ,wakihamia vyama vingine tu wanapotea MAZIMA.
Pengine unawaza kuwa ni uchaguzi ambao wananchi wanaenda kupiga kura. Nadhani umekosa kujua ni wajumbe wa mkutano, huenda hujui hata idadi yake na wanavyopatikana.Embu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .
Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????
Huko kuta mfaa maana ndicho chama cha mapandikizi kama ACTMshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.
Hivi wachaga wamewakosea nini?Mnahangaika sana nyie wachaga. Lisu lazima awe mwenyekiti wa chadema upende usipende
Kwani lazima awe mwanasiasaMshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.
Kuna kitu kinaitwa NCCR?Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.
Unapiga ranli tu.Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.
Hakuna cha ramli hapo.Mshaurini aende SAU ndio atatoboaUnapiga ranli tu.
Huna lolote.