Tetesi: Lissu kuhamia NCCR Mageuzi mwezi February 2025. Selasini ajiandae.

Tetesi: Lissu kuhamia NCCR Mageuzi mwezi February 2025. Selasini ajiandae.

Embu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .

Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????
Pengine unawaza kuwa ni uchaguzi ambao wananchi wanaenda kupiga kura. Nadhani umekosa kujua ni wajumbe wa mkutano, huenda hujui hata idadi yake na wanavyopatikana.
Uchaguzi ukiwa huru na haki, Lissu anapata robo ya kura za Mbowe. Ndio maana ameanza kupitapita kabla hata ya muda wa kampeni
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.

Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.

Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.

Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.


Mod msiufute huu uzi.
Huko kuta mfaa maana ndicho chama cha mapandikizi kama ACT
 
Kwake atakuwa hajakosea.Atakuwa amerudi nyumbani kwani kabla ya kukimbilia Chadema alitoka huko huko NCCR Mageuzi.Akalete mageuzi huko.
 
Mnahangaika sana nyie wachaga. Lisu lazima awe mwenyekiti wa chadema upende usipende
Hivi wachaga wamewakosea nini?

Nani alimzuia babu yako kuja mjini mapema?

Yani mtu atoke maporni huko kwenye fisi akifika hapa ni kufokea wachaga..

Wamewakosea nini?

Kama hujui wachaga wananufaika zaidi na CCM kuliko Chadema .. jfyi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.

Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.

Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.

Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.


Mod msiufute huu uzi.
Kwani lazima awe mwanasiasa

Anaweza endeleza na kazi zake za uwakili
 
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.

Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.

Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.

Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.


Mod msiufute huu uzi.
Kuna kitu kinaitwa NCCR?
 
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.

Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.

Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.

Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.


Mod msiufute huu uzi.
Unapiga ranli tu.
Huna lolote.
 
Back
Top Bottom