LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Ni uwongo na uzushi mtupu...wanachoandika ni prediction tu zisizo na ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uwongo na uzushi mtupu...wanachoandika ni prediction tu zisizo na ukweli
Tena huu Uzi ubaki na itanifaa sana hata Mimi, ili kuondokana na saccos ya mtu/watu !
Hakuna ukweli wowote. Mkuu...Hii ni tetesi inayokaribiana na ukweli take easy.
...utabaki kama uzushi tu....Tena huu Uzi ubaki na itanifaa sana hata Mimi, ili kuondokana na saccos ya mtu/watu !
lissu anazushiwa kuhamia kila chama hata ccm nako anazushiwa kuhamia huko aliko msigwaNi uwongo na uzushi mtupu...
..lissu ni dhahabu, Kila mtu anahitaji, uzushi ni mwingi mno.Lissu sio aina ya wanasiasa malayamalaya.lissu anazushiwa kuhamia kila chama hata ccm nako anazushiwa kuhamia huko aliko msigwa
Watasema anahamia TLP kwa Mzee wa Kiraracha wa Chama cha Jogoo kapanda Mwewe
Huo mkakati unamtengenezea na maadui zake ndani ya chama na baadhi ya wanaccm.Which is which? mara kuhamia ccm, mara act, mara chauma, mara sau, mara cck, mara tadea, mara nccr, mara udp, tlp na kwingine pote anazushiwa kuhamia huko. cha ajabu nini wakati majukwa ya kufanya siasa ni mengi?
Lissu akitaka afanikiwe aende chama cha SAUlissu anazushiwa kuhamia kila chama hata ccm nako anazushiwa kuhamia huko aliko msigwa
Tetesi humu ndani kuhusu lissu zimekuwa nyingi sana, wanaobashiri ni ccm, too bad 90% huwa havitokeiMshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.
Acha utani aiseeuko sahihi na mbowe hashindi mbele ya lissu bila kufanya sarakasi
labda ashinde kwa sarakasiAcha utani aisee
Na akienda kwengine mwambiaen apunguze njaaaa. Atadhalilika.bora atoke tu kwenye chama cha mtu
hana njaa yule, hata umpe rushwa hapokeiNa akienda kwengine mwambiaen apunguze njaaaa. Atadhalilika.
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.
Ninachofurahi tu ,wengi waliovuma wakiwa CHadema ,wakihamia vyama vingine tu wanapotea MAZIMA.Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.