Tetesi: Lissu kuhamia NCCR Mageuzi mwezi February 2025. Selasini ajiandae.

Tangazo la mkutano linaonyesha ishara zote za wazi, kwamba kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anakwenda kujiengua rasmi chadema.

Features, alama na rangi za chadema zote zimeondolewa kwenye tangazo hili la leo kulikoni?

mtakumbuka,
hata kwenye press conference zilizohusu mambo yake binafsi, kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi alitumia banners, logs, colors na features zote za Chadema, vip Leo?

My friends, ladies and gentlemen,
that is an exit strategy stage, by a puppet, politically speaking 🐒
 
Hajajaa. Ila CHADEMA nayo itadhoofika mana hakuna kitu Mbowe atawaambia wanachama wakamuelewa. Muda utaongea.

Kila muda ambao Mbowe atakuja na matamko yakw watu watampuuza mana ameng'ang'ania kiti wakati kachuja
 
Mimi ningemshauri ahamie kwa rafiki yake mchungaji Msigwa 🐼
 
Mnahangaika sana nyie wachaga. Lisu lazima awe mwenyekiti wa chadema upende usipende
 
The good thing about Lissu ameprove beyond reasonable doubt kuwa ni Mwanasiasa Legitimate. Nimejifunza kitu kupitia Lissu, Kuwa Mkweli daima. Ukweli hukuweka huru. Doubt Everything.
 
Chini ya jua vimeshindikana vitu viwili tu, Uzee na Kifo. Hayo mengine yote yanawezekana. Mfano jwtz wakiamua kumsupport lissu kwa 100% hata akiwa kwenye chama cha ubwawa, si anakuwa Rais Ajaye 2025.
Ila wakuu inashangaza sana watu wanavyokichukulia chama cha ubwabwa wakati kipo makini kuliko vyama vingi tu vya upinzani.

Wakili Rungwe anasema watanzania wanashangaa anaposema atapeleka maji ya bahari Dodoma na kuyasafisha ili wakazi wapate maji safi ya kunywa, wanaona ni uongo na jambo lisilowezekana, ila watanzania haohao hawashangai mafuta kusafirishwa kwenye bomba kutoka Dar es Salaam -Tanzania mpaka Zambia (TAZAMA).
 
Embu tujadili honestly with an Open mind and clear heart .

Mbowe , ni mwanasiasa wa kumshinda LISSU Kwenye Uchaguzi huru na haki???????

LISSU huyu huyu ambaye ameproov kua Sahihi kwenye masuala mengi hapa nchini
Kwani mtu akishindwa lazima ashamed? Kwanini wapinzani hawajifunzi kwa CCM? Ina maana mtu anakuwa mwanachama tu ili apate madaraka? Kwani hawezi kutulia na akajaribu wakati mwingine tena?
 
Chama cha mzee wa Ubwabwa
 
Hajajaa. Ila CHADEMA nayo itadhoofika mana hakuna kitu Mbowe atawaambia wanachama wakamuelewa. Muda utaongea.

Kila muda ambao Mbowe atakuja na matamko yakw watu watampuuza mana ameng'ang'ania kiti wakati kachuja
We ni mwanachama wa CDM? au ni mpenzi mtazamaji
 
Huu ni
Huu ni uwongo 1000%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…