Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.
Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.