share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Nchi haiwezi kabidhiwa kwa vibaka
Nani kibaka? Fikiri kwa kichwa si kwa tako. Hakuna mwenye haki miliki ya nchi. Unafahamu wewe ujambazi mkubwa uliofanywa na CCM kwa miaka yote tangu Uhuru? Acha ujinga wa kiwango cha chekechea.