Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Too low for you Bro!Dsm siyo Kilimanjaro!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Too low for you Bro!Dsm siyo Kilimanjaro!
Njoo hapa Kumalija Hotel Nyegezi unywe bia dogo. Huko Jimbo la Nkenge kwetu tunasubiri tu kumwapisha mgombea wetu Mh. Frolent Kyombo!Wahaya wenzako wapo busy na kupalilia mashamba yao ili wapande maharagwe wewe unakesha kuwaramba miguu wanaume wenzako
Rangi yenu nyekundu huwa ina beba ujumbe upi ?Kimbungaaaaaaaaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbungaaaa kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
Bawacha, Bavicha, Bazecha, mwanachama na mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani. View attachment 1549850View attachment 1549851
Vitu trivia size yako na Chadema wenzako. Kuongoza nchi ni kazi ya CCM. Ahahahahahah! By the way, mi nakunywa K Vant sio Balimi.Naona ushalewa balimi, hapa Tanzania hakuna kitu linaitwa Jumbo la Nkenge
Tutafika kwa wingi wetu,kupata kujua Sera na matarajio yetu wote kwa pamoja wanachama na wasio wanachama tufike kwani huu no mustakabali was taifa letu na vizazi vijavyo tafadhali jaribu kujufunza kwa wagombea wote ,ili uweze kufanya uamuzi wenye manufaa kwa taifa letu.Kimbungaaaaaaaaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbungaaaa kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
Bawacha, Bavicha, Bazecha, mwanachama na mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani. View attachment 1549850View attachment 1549851
Wamebugi kinyama.. yani mgombea mwenza hata mvuto kabisa...Hilo nalijua ya kwamba huwezi kujibu critical questions.
Karibuni sana waungwanaTutafika kwa wingi wetu,kupata kujua Sera na matarajio yetu wote kwa pamoja wanachama na wasio wanachama tufike kwani huu no mustakabali was taifa letu na vizazi vijavyo tafadhali jaribu kujufunza kwa wagombea wote ,ili uweze kufanya uamuzi wenye manufaa kwa taifa letu.
Huyo Mgombea Mwenza anajijua kuwa "anazuga", hawezi kuwa Makamu wa Rais abadan!Wamebugi kinyama.. yani mgombea mwenza hata mvuto kabisa...
Kunywa sio ulevi. Ulevi ni ule wa Mwenyekiti Mbowe kulewa hadi kuvunjika mguu! Ahahahahahah!Kumbe na ulevi nayo ni sifa? Kweli lumumba mmelaanika
Ni Yeye!Kimbungaaaaaaaaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbungaaaa kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim...