Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naisubiri hii ya PackersJumamosi tuko tanganyika packers kawe karibu sana ,kawe na msasani karibu
Msikonde.kila kitu kipo tayari.Dar msituangushe
✌️✌️💪💪Msikonde.kila kitu kipo tayari.
Aisee kuni zinakuwasha Sana wewe duh.....Ndoto
Umenisoma vema au umekurupuka Mkuu? Soma kwanza alichoandika niliyemquoteSasa watu wengine bhana wakishindwa hoja wanakimbilia udini na ukabila....kwan lisu na mwalimu ni kabila gani.?acheni uchoko wa kijingaa sikilizeni hojaa za watu...mamaye
Kimenuka !Kimbungaaaaaaaaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbungaaaa kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
Bawacha, Bavicha,Bazecha,mwanachama na mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha ccm madarakani. View attachment 1549850View attachment 1549851
Ebu tazama vizuri hilo 'tabasamu' la Mgombea Mwenza. Hivi linaonesha kweli ni la mtu anayetarajia kuwa "Makamu wa Rais"?Kimbungaaaaaaaaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbungaaaa kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
Bawacha, Bavicha, Bazecha, mwanachama na mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani. View attachment 1549850View attachment 1549851
Na Mungu yupo na Rais Magufuli.Palipo na Mungu hapaharibiki kitu
Hilo nalijua ya kwamba huwezi kujibu critical questions.Hayo maswali kawaulize wacheza ndombolo wenzako wa lumumba