Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Kesho Zakhiem tunafanya Mwana ukome tukimkaribisha rais wetu jasiri Tundu Lisu. Wimbo ni mmoja tu # Ni Yeye 2020!
 
1598554680690.png

Tukutane Mbagala kesho 28/08/2020
 
Nilisoma humu kuwa Chato na Geita nzima itakwenda Chadema
Wale wanamfahamu mgombea wa CCM toka utoto wake, utoto wa baba yake hata utoto wa babu yake na tabia zao, kwa hiyo hawawezi kuambiwa lolote na Polepole au Bashiru kuhusu mgombea huyo.

Wananchi wengi waliobaki walimfahamu miaka 5 iliyopita baada ya kutolewa toka kwenye mbeleko ya kiongozi aliyependwa akawaaminisha anawaletea kiongozi mzuri kumbe bomu kama sote tujuavyo.

Hata miaka 20 ya Ubunge na Uwaziri haikusaidia kujitambulisha kwa sababu Bungeni kazi yake ilikuwa kupiga meza na kusifia viongozi wake wa juu yake bila kuchangia hoja au kupinga chochote. Kwa hiyo wananchi wa Geita na Chato kama wanapenda CHADEMA ni kwa sababu hawampendi mgombea wa CCM kwa kuwa hafai maana wanamjua tosha.
 
Makamu wa Rais ana sura ya Urais kabisa

Lissu sura yake imekaa kimakamu makamu tu

hapo mngefanya change kota,lissu makamu salumu Rais

nawahakikishia kampeni ya mwaka huu ingekua tamu na konki

ila kumweka lissu Urais hilo n sawa na mpishi kupika biriani kwa mchele wa ifakara.
Nyie wa CCM kwa nini hamfanyi hivyo hata baada ya miaka 5 ya kuona Makamu wenu wa Rais akiunguruma mbele ya Marais na Wafalme wa dunia wakati Rais wenu akijificha uvunguni kwa shida ya lugha na kisomo? Hafai hata kuwa Makamu wa Rais Wala Waziri Mkuu Wala Waziri wa Mambo ya Nje labda wa Sukumaland. She is a better Presidential material than her boss. Aibu kwetu sote, aibuuuu!
 
Mtanyoka mwaka huu. Yule mshamba ameponea chupu chupu jana NEC
Mwanasheria nguli asiyejua Nini maana ya passport size.

Akishajipatia kura elfu moja za huruma,

Hatimaye atapanda ndege na kurejea kwao Ubelgiji.
 
Mwanasheria nguli asiyejua Nini maana ya passport size.

Akishajipatia kura elfu moja za huruma,

Hatimaye atapanda ndege na kurejea kwao Ubelgiji.
Mmekwama sana uvccm
 
Kimbungaaaaaaaaa kilianzia Kanda ya Pwani

Kesho ndio kesho kimbungaaaa kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim

Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi

Bawacha, Bavicha, Bazecha, mwanachama na mwananchi tukutane Mbagala Zakheim

Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu

Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,

Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani. View attachment 1549850View attachment 1549851
Ni kweli atasimasimamisha Dar na kitakuwa kimbunga kwa kibaraka wa mabeberu (kundi la "wajomba" ambao hutumia chaguzi katika nchi zinazoendelea kuweka vibaraka wao waruhusu ziwe shamba la bibj). Mmoja wao ni Joseph Paul Trip
View attachment 1550151
 

Attachments

  • VID-20200827-WA0002.mp4
    18.7 MB
Back
Top Bottom