Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna mitambo ya kugeuza kura tutakazompa Magufuli?Tupo pamoja sana,Lissu ndiye Rais halali wa Tanzania kuanzia October,2020!
Jiandae kisaikolojia maana Lissu ndiye rais wako wa awamu ya 6Ni kweli atasima kitakuwa kimbunga kwa kibaraka wa mabeberu (kundi la "wajomba" ambao hutumia chaguzi katika nchi zinazoendelea kuweka vibaraka wao waruhusu ziwe shamba la bibj). Mmoja wao ni Joseph Paul Trip
Ni hoja au sera gani zinazompa uhalali huo?Lissu ndiye rais wako wa awamu ya 6, hutaki rudi kwenu buyenzi
Hata wasanii tuna rais wetu.Watanzania tumechoka kuburuzwa.rais ni Tundu Lissu hutaki Hama nchii
Kimfaacho mtu chakeTunakuja kuangalia hii....
View attachment 1550214
Wanywa kimpumu ndo wanakutana keshoHutaki kunywa kimpumu upunguze maumivu
Tunatukaniwa wamama/Shangazi zetu tumekaa kimya kama mazuzu hakuna wa kumshauri huko ccm?, this time hata kama atatoboa ila mbinu za kuchezesha kekundu keusi aziangalie vizuri ni kama Kiberiti zitatoa cheche!Watanzania tumechoka kuburuzwa.rais ni Tundu Lissu hutaki Hama nchii