Kama mluzoea vya kunyonga siku zoote basi safari hii itabidi muijue kibra ipo wapi maaana mziki wa mh Lissu siyo wa mchezo mchezoSawa wewe si jike , hivyo unaona ajabu wanaume kukuna nazi?? Ndio
Maana unajitekenye kwa ushindi ambao haupo au unajifaraghua kwa ushindi wa kwenye internet
Hii picha ni kweli au ni photoshop? Hayo ndiyo yaliyokuwa mahudhurio pamoja na basi lile pale nyuma?Tunaambiwa saa tatu asubuhi tayari uwanja ulikuwa umefurika watu na viongozi wa juu wa chama walishakuwa
jukwaani.
View attachment 1551355
Kwa sababu unaye muongelea ni binadamu mwenzangu kuna vitu vingine nitachukua tahadhari kuvisema, Lakini ki ujweli hana lolote wameisha feliKama mluzoea vya kunyonga siku zoote basi safari hii itabidi muijue kibra ipo wapi maaana mziki wa mh Lissu siyo wa mchezo mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama unajua na unaamini kuwa wameisha feli yanini kujihangaisha kwa walio feli?Kwa sababu unaye muongelea ni binadamu mwenzangu kuna vitu vingine nitachukua tahadhari kuvisema, Lakini ki ujweli hana lolote wameisha feli
Tunawaeleza kama binadamu wenzetu msije kufa kwa kihoroSasa kama unajua na unaamini kuwa wameisha feli yanini kujihangaisha kwa walio feli?
Ningekuwa mimi ningeisha agiza kahawa na kashata na karanga pembeni nikawa najipongeza kwa ushindi wa kihistoria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kujichosha kwa watu ambao mnajiamini kuwa tayari ni feliaTunawaeleza kama binadamu wenzetu msije kufa kwa kihoro
Kwa utulivu kabisa nimewahesabu huu upande wanaoonekana kwa wingi nimepata 375.daaah mnatumia nguvu kubwa kuonyesha watu mnakubalika, oneni aibu hii
View attachment 1551093
Hiyo sensa umefanyia ufipa? Au chumbani kwako??Mtasema mengi sana lkn ukweli mnaujua kuwa safari hii watanzania wote wameamua kuwa Lissu ndiyo chaguo lao.
Uliona wapi pembe la ng'ombe linajificha?Hiyo sensa umefanyia ufipa? Au chumbani kwako??
Jamaa wanakimbia picha za juu wakati enzi zile walikua wanatumaga mapicha kibao ya droneUkitaka kujua wingi wa watu leta picha ya juu!!
Sawa mtabiri unayeweza kujua kilicho moyoni na kichwani kwangu nafikiri hata jamaa wa boda boda na mama ntilie wanakufagilia kweli kweli, ila
Cha ajabu mambo yakawa tofauti sana.Mbagala hata wauza dawa za nguvu za kiume na watu wa mazingaombwe Hua Wana jaza pia lisu kachagua mbagala ili aonekane Ana jaza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utajaza mwenyewe baada ya kuelimika ndipo utaiona ccm kuwa ni sumu baridiSawa mtabiri unayeweza kujua kilicho moyoni na kichwani kwangu nafikiri hata jamaa wa boda boda na mama ntilie wanakufagilia kweli kweli, ila
Huu ni upande mmoja mkuu?Tbc whawaonyesholi nyomi wanonyesha picha upande upande.
Hahaha...kwamba hata vivuli hawavioni kwamba vinaonesha jua likielekea kuzama?Tunaambiwa saa tatu asubuhi tayari uwanja ulikuwa umefurika watu na viongozi wa juu wa chama walishakuwa
jukwaani.
View attachment 1551355
Ni kweli mkuu, TBC walikuwa live kabla Lissu hajasimama na hizo ndo zilikuwa picha LIVE, angalia hata vivuli utaona jua likielekea kuzama.Hii picha ni kweli au ni photoshop? Hayo ndiyo yaliyokuwa mahudhurio pamoja na basi lile pale nyuma?
Siyo kweli ni kutumia rasilimali za chama vizuriCDM wemakataa mkutano wao kurushwa. Watu waliyohudhuria ni wa size ya mkutano wa mgombea udiwani.