Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #261
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwanza kamuulize Wasira aliye kuwa mwanzilishi wa huo wimbo wako atakwambia nini kilimkutamwisho wenu umefika
Mtatoa visingizio sana lakini wana Dar hasa Mbagala wamewashit sana. PolenjHiyo picha imepigwa na tbc asubuhi hata kabla ya mh rais hajafika
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumewafukuza wanafiki wenzenuMtatoa visingizio sana lakini wana Dar hasa Mbagala wamewashit sana. Polenj
Ukitaka kujua wingi wa watu leta picha ya juu!!Tbc walifanya hujuma makusudi tu kuminya kipenyo cha camera. Picha halisi ni hizi hapaView attachment 1551008View attachment 1551009
Sent using Jamii Forums mobile app
Sihangaishwi na uvccm kama wewe maana kuna watu wa kuhangaika naoUkitaka kujua wingi wa watu leta picha ya juu!!
Haisaidii wana mbagala wamewanyoosha! Na kesho huku Kawe tunawanyoosha tena. Angalia ufunguzi wa Chama Dume Dodoma kesho uone nyomi ya kweli.
Dodoma keshoooo!!Sihangaishwi na uvccm kama wewe maana kuna watu wa kuhangaika nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hembu acha mambo ya kikuda kama huna cha kusema ule uwanja wa mbagala umejaza mpaka pomoni ukiwa mnafiki ujanani uzeeni utakuwa mchawidaaah mnatumia nguvu kubwa kuonyesha watu mnakubalika, oneni aibu hii
View attachment 1551093
Juu ya nini?Ukitaka kujua wingi wa watu leta picha ya juu!!
Gambo alisha sema kuwa uvccm wengi wao ni wanafiki na wakizeeka lazima watakuwa wachawiHembu acha mambo ya kikuda kama huna cha kusema ule uwanja wa mbagala umejaza mpaka pomoni ukiwa mnafiki ujanani uzeeni utakuwa mchawi
Hao dawa yao ndiyo imeanza rasmi leo baada ya kuwatimua wanafiki waoJuu ya nini?
CHADEMA haipendwi mbona mnatumia nguvu sana kuiangmiza
Yani pale watu walivyo washamba wanaenda kuwashangaa wakina dai na wenzao zungukeni na T.o.T yenu muone mtakavyobaki na wajumbe wa nyumba kumiHaisaidii wana mbagala wamewanyoosha! Na kesho huku Kawe tunawanyoosha tena. Angalia ufunguzi wa Chama Dume Dodoma kesho uone nyomi ya kweli.
Nguvu zipi!! Tukitumia nguvu mtakuwepo nyinyi si mtakimbilia kwa mabeberu!!Juu ya nini?
CHADEMA haipendwi mbona mnatumia nguvu sana kuiangmiza
Macho yangu yana thamani sana, kuna vingi vya kuangaliaHaisaidii wana mbagala wamewanyoosha! Na kesho huku Kawe tunawanyoosha tena. Angalia ufunguzi wa Chama Dume Dodoma kesho uone nyomi ya kweli.
Umeonaeeeee? Leo wameahinda wanawasomba kina Matonya kwa kutumia mafusoYani pale watu walivyo washamba wanaenda kuwashangaa wakina dai na wenzao zungukeni na T.o.T yenu muone mtakavyobaki na wajumbe wa nyumba kumi
Hembu acha mambo ya kikuda kama huna cha kusema ule uwanja wa mbagala umejaza mpaka pomoni ukiwa mnafiki ujanani uzeeni utakuwa mchawi
Sawa wewe si jike , hivyo unaona ajabu wanaume kukuna nazi?? NdioAya sawa nenda kakune nazi maana ndiyo kazi unayo iwezaView attachment 1550723
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa wewe si jike , hivyo unaona ajabu wanaume kukuna nazi?? NdioAya sawa nenda kakune nazi maana ndiyo kazi unayo iwezaView attachment 1550723
Sent using Jamii Forums mobile app