Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
Jumuiya ya kimataifa INA maslahi mapana makubwa na Tanzania kuliko kichwa cha Lisu.Jumuiya ya kimataifa ichukue hatua Kisa kuna individuals watatu wanne wamepigwa nondo au risasi kwenye makalio na vibaka???!!!!!!
 
Kwanini unahofia vikwazo vya uchumi wakati tuko na good governance mkuu!
 
Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Kuna muda mtu mjinga kama Lissu unaamua ukufuru mungu kwa kumuombea mabaya tu. Huwezi kukaa unaidhalilisha tu nchi yako. Halafu kila siku unaituhumu serikali inahusika na kukushambulia then unataka serikali hiyo iwe jirani na wewe,serikali hiyo itakuwa ya mazezeta. Lissu aachwe apambane mwenyewe,huwezi kubishana na serikali.
 
UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI
Haya mahaba sio bure, ngoja mkewe halali wa ndoa akusikie!
 
Na wewe usifuatilie ya Lissu hayakuhusu mtu wa Lumumba street.
 
Mbona mmepanic sana.
Kwani hao waheshimiwa si wanaenda tu kumjulia hali ?.
 
Utakufa wewe kibudu Lissu utamuacha
Jiulize risasi 38,ontearget 16 ila hakufa.
Mungu ana mpango na Lissu.
 
Utakufa wewe kibudu Lissu utamuacha
Jiulize risasi 38,ontearget 16 ila hakufa.
Mungu ana mpango na Lissu.
Ukiona hivyo ujue hakuna aliyetaka kumuua huyo. Watu wangetaka isingeshindikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…