Hovyooooo!Tanzania sio salama kuishi ukilinganisha na nchi gani? Mwanzo nilijisikia vibaya kwa uhuni alio fanyiwa na attempt ya kumuua iliyo shindwa, lakini huku anapo elekea siko. Huwezi kuwa unawaza kuisema nchi tena ugenini. Huko Ulaya au nchi zingine si kwamba hakuna madhaifu, lakini wakienda nje wanaeleza mazuri, madhaifu wanabanana humo kuyashughulikia. Hakuna nchi inaongoza kupigwa watu risasi hovyo kama US , lakini hutasikia CNN au vyombo vyao vingine vikitangaza hayo!!!! Tundu lissu ni janga, kama vipi aishie huko huko ahamie, huu ni uhaini, akirudi hapa atubu au amalizwe!!! Shabaash
Pamoja na ukweli ulioutoa, usisahau kuwa Dunia ni familia kubwa. Na ndiyo maana hata katika kukomesha udhalimu wa makaburu, Waafrika Kusini walianzisha umkondowesizwe, OAU ilianzasha kamati ya nchi zilizomstari wa mbele. Na OAUna nchi mbalimbali walizunguka mataifa mbalimbali kutafuta kuungwa mkono. Mwishoni, kwa juhudi za pamoja ubaguzi uliteketezwa. TL anachofanya ni sehemu ya jitihada, ambazo zikichanganywa na nyingine, siku moja Tanzania itakuwa nchi bora zaidi katika kufuata utawala wa sheria na demokrasia.Chachu ya ukombozi haiwezi kuletwa toka Ulaya. Kama inaletwa basi itakuwa imebebwa kichwani kama furushi la nazi. Sijui itafika lini.
Ukombozi unaanza na sisi wenyewe kwa kutaka kwa dhati. Maendeleo yanakuja na sisi wenyewe kwa kutaka.
Tanzania ni kubwa kuliko individual yoyote. Katika harakati zetu tusisahau hilo
UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI
Mficha uchi hazani (discuss this statement).Huyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa
Sasa mtu kama huyu unakuta naye ana lalamika kuwa Trump amewatukanaTundu Lissu ni janga la Taifa kabisa. Huyu mtu akirudi asivute Pumzika ya Nchi hata mwezi. Ni mpuuzi, lofa, mpumbavu , mjinga na mbinafsi. Anayoyafanya ni kwa faida ya nani? Aangalie hao wanaomtembelea juenda wana mambo mengi nyuma ya pazia, maana tumeambiwa TL hana ndevu na kanenepa mnoo kwa kula tu mikuku huku akiwa kalala.
Kama Mungu aishivyo, naomba maombi haya yakurudie kwa kipimo ulichomwombea mwenzio. Amina.Huyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa
Ndio hivyo sasa anachafua na uwezo wa kumuua huna,Huyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa
Utafiti huu ulifanyika ufipa.yani lisu ni bora kuliko hata mawakili waliosababisha uchaguz Kenya ukarudiwa.hivi huko ufipa mnalishwa nini?Yani mtu kukimbizana na vikesi vya uchochezi hata mwanafunz wa third year law UDOM au UDSM anaweza shinda et leo ni mwanasheria bora.UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI
Bhukile , Ingongobhe jililile mwaisa !Duh!
Mdanganyeni tu dikteta wenu, akimuua LissuTundu Lissu ni janga la Taifa kabisa. Huyu mtu akirudi asivute Pumzika ya Nchi hata mwezi. Ni mpuuzi, lofa, mpumbavu , mjinga na mbinafsi. Anayoyafanya ni kwa faida ya nani? Aangalie hao wanaomtembelea juenda wana mambo mengi nyuma ya pazia, maana tumeambiwa TL hana ndevu na kanenepa mnoo kwa kula tu mikuku huku akiwa kalala.
Mkuu umewahi kufikwa na msiba?hivi haya Maneno ndugu zake na Lissu wakiyaona watakuchukuliaje? Huu uroho wenu Wa madaraka usituharibie nchi yetu.Kwani hata tukiwekewe vikwazo tutakufaa? Ishini maisha yenu siyo Mara mnasema hamtaki misaada while moyoni in omba omba.akili za namna hii ndo zinafanya tutukanwe na wazungu.unajifanya kwamba wewe ni mzalendo sana kumbe Mwizi tuTundu Lissu ni janga la Taifa kabisa. Huyu mtu akirudi asivute Pumzika ya Nchi hata mwezi. Ni mpuuzi, lofa, mpumbavu , mjinga na mbinafsi. Anayoyafanya ni kwa faida ya nani? Aangalie hao wanaomtembelea juenda wana mambo mengi nyuma ya pazia, maana tumeambiwa TL hana ndevu na kanenepa mnoo kwa kula tu mikuku huku akiwa kalala.
Kufikirika???Kwa hiyo unaifananisha Tanzania na SA ya makaburu ww? Unajua kilichokuwa kimafanywa na makaburu kwa weusi aisee..labda na ww nikuulize ulikuwa na umri gani maana unashindwa kukumbuka namna wale jamaa walivyokuwa wanawateketeza wenzetu. Ule ulikuwa ni ubaguzi wa rangi uliozidi kipimo. Hapa ni tofauti..huo utesaji mnaoshikia bango ni wa kifikirika zaidi..