Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Hovyooooo!
 
Pamoja na ukweli ulioutoa, usisahau kuwa Dunia ni familia kubwa. Na ndiyo maana hata katika kukomesha udhalimu wa makaburu, Waafrika Kusini walianzisha umkondowesizwe, OAU ilianzasha kamati ya nchi zilizomstari wa mbele. Na OAUna nchi mbalimbali walizunguka mataifa mbalimbali kutafuta kuungwa mkono. Mwishoni, kwa juhudi za pamoja ubaguzi uliteketezwa. TL anachofanya ni sehemu ya jitihada, ambazo zikichanganywa na nyingine, siku moja Tanzania itakuwa nchi bora zaidi katika kufuata utawala wa sheria na demokrasia.
 
Huyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa
Mficha uchi hazani (discuss this statement).

Sheria ya ndoa namba 5/1971 isingekuwa na haja ya kutungwa km mambo ya ndani kwny familia yasingetakiwa kutoka nje (e.g mahakamani).

Njia ya kutatua mgororo ndani ya nyumba kam unavyodhani we ni kukaa meza moja na kufikia muafaka (amicably). Lakin nyumba yetu baba wa nyumba hataki kukaa na familia yke.
 
Jamani msipotoshe! Lissu haisemi Nchi, anamsema vibaya Dikteta aliyetaka kumfisha!!
Yaani mnataka mtu atake ku kuua then ukae kimya tu! Tumieni akili sio masaburi
 
Sasa mtu kama huyu unakuta naye ana lalamika kuwa Trump amewatukana
 
Huyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa
Kama Mungu aishivyo, naomba maombi haya yakurudie kwa kipimo ulichomwombea mwenzio. Amina.
 
Huyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa
Ndio hivyo sasa anachafua na uwezo wa kumuua huna,
 
mTanzania anaeweza kumshangilia mtu aliye ulaya aau ndani ya nchi lakini anajaribu kuifedhehesha nchi yake na kuitafutia mabaya ni wa kuogopwa sana na yamkini kumtenga mbali na nchi yetu.angekua ni raia wa Korea angejuta.waTanzania wenye kuelewa tuwe makini sana na watu kama hawa,adui anaetaka kuiondoa amani ya nchi anaweza kutumia hata wananchi wenyewe wenye uroho wa pesa kuichafua nchi yao na kuahidiwa makazi huko ughaibuni,ilimladi tu watu wafanye biashara zao.mtu unaenda kubwabwaja maneno ya mji wako kwa jirani au nyumba ya saba toka kwako unalalamikia familia yako badala ya kukaa ndani mwenu msemezane mpaka muelewane,mtu gani wa namna hii fedhuri.
 
UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI
Utafiti huu ulifanyika ufipa.yani lisu ni bora kuliko hata mawakili waliosababisha uchaguz Kenya ukarudiwa.hivi huko ufipa mnalishwa nini?Yani mtu kukimbizana na vikesi vya uchochezi hata mwanafunz wa third year law UDOM au UDSM anaweza shinda et leo ni mwanasheria bora.
 
Mdanganyeni tu dikteta wenu, akimuua Lissu
Aibu ya kupelekwa Mahakama ya kimataifa kwa uhalifu!!
Ataweka Historia ya rais wa kwanza hapa kwetu kutafutwa na mahakama ya kimataifa!
Mdanganyeni tu! Mara ya kwanza mlimshauri ampige risasi huku ajidai anatangaza ripoti ya makinikia!
 
Lisu alishasahaulika sasa hawa chagadema wanaleta huu uzi ili at least watu wamkumbuke kumjadili. EU hawana muda wa kuonana na Lisu atawasaidia nini?? EU sasa hivi wana mambo makubwa ya kujadili kama Brexit sio kuongea na hao waganga njaa wa ufipa ambao hata Diamond Platnumz kawashinda kwa kua na HQ nzuri ya WCB, wao na ruzuku ya more than 10 years bado wapo mtaani kwa mateja.2020 hawa hawatapata kura kabisa wabongo weshawashtukia wapigaji hawa.
 
Mkuu umewahi kufikwa na msiba?hivi haya Maneno ndugu zake na Lissu wakiyaona watakuchukuliaje? Huu uroho wenu Wa madaraka usituharibie nchi yetu.Kwani hata tukiwekewe vikwazo tutakufaa? Ishini maisha yenu siyo Mara mnasema hamtaki misaada while moyoni in omba omba.akili za namna hii ndo zinafanya tutukanwe na wazungu.unajifanya kwamba wewe ni mzalendo sana kumbe Mwizi tu
 
Kufikirika???
 
Kwa hiyo akikutana nao ndiyo Tanzania itasimama kuwa Tanzania na kuondolewa kwenye ramani ya dunia ? Nyie CHADEMA kwa nini mnakuwa na akili za kitoto hivyo kuanzia viongozi wenu wa kitaifa mpaka yale makarai yenu ya mwisho ? Kumbukeni kulikuwa na akina Kambona hapa lakini mwisho wake walikuja kuibusu ardhi ya Tanzania kwa machozi.Wakusanyike viongozi wa EU wote kwa pamoja waongee naye lakini Tanzania ipo palepale.Kwetu sisi Lissu ni mchumba tuuu.
 
Hivi nyie mnaoendelea kumuenzi Trump ushithole Akilini, Mioyoni na midomoni mwenu, hamwoni kama ni kitendo cha aibu kubwa Nchi yetu TZ iliyokuwa na sifa nzuri ya amani iliyojengwa na waasisi wetu makin na weledi wa kuongoza Nchi hasa Mwl.Nyerere, kugeuka Nchi ya kuongozwa kwa mbinu ya UGAIDI km ule wa Al-Shabab, Al-Kaida, Boko Haram nk.!? Mtu yeyote aliyemzima kwenye Akili, hawezi kufurahia Nchi yetu kufanana na Nchi za Kidikteta na zenye magaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…