Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

msaliti ktk ubora wake,mtu anayetaka umaarufu kupitia siasa chafu
Belgium ni shit hole pia lissu hamna jipya wadanganye wasiofika
 
Kweli mkuu upon sahiihii
 
Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA

Oh Inavunja moyo, nilitegemea angekutana BUNGE ZIMA la EU kumbe ni huyo Mfelmishi? How disappointing is that?
 
Maalim alizunguka sana mwisho wa siku kaamua kutulia.
 
Huyo Lisu hana athari yoyote kwa nchi kwani hata huko wanaelewa kipindi alichopitia ni kigumu hivyo dishi haliko sawa kwa sasa hivyo wanampuuza tu.



Mkuu acha WENGE... Eti dishi haliko sawaa.jitafakari mana huyo unaemwambia dishi limeyumba yupo vizuri kichwani kuliko dingi ako.
 
Mbona kama mmeanza kubanwa na haja kubwa
 
Naona unahangaika
Umekalia nini braza, tulie kiingie vizuri
 
Wazungu ndio wameweka serikali ya magufuli mjini chanjo dawa za ukimwi majengo ya theatre kuzalia kutibu fistuls Saggot umeme w REA maji chanjo za mifugo uboreshaji wa miji na utawala
 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Uhuru wa kuua watu kwa kutofautiana mitizamo ya kisiasa, ni huru kwa kutunukia washenzi PhD fake, ni huru kwa kukubali kuongozwa ki kabila, ni huru kwa kumtizama mtu anajenga kwao bila aibu kwakutumia fedha za walipa kodi wa nchi, ni huru kwa bashite kuwa mkusanya mali za mtawala kiasi kwamba hata afanye madudu gani haguswi zaidi sana anapongezwa. Kama Uhuru wenyewe ndio huo bora wote tufe, Uhuru wa shitholes.
 
Majizi chadema somo la uzalendo kwa nchi yao walipata zero kabisa.

Wasioitakia mema Tanzania hawatapenya.
Uzalendo na matendo ya kishenzi yanayotendeka, siufagilii uzalendo shit.
 
asisahau kutumia fursa hiyo kutangaza na vivutio vya watalii tulivyonavyo, ili kukuza pato la taifa.
Kivutio kikubwa ni wenye PhD feki wenavyokaza miuli na kurusha mikono kila wanapohutubia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…