babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Nchi huru hata libya, Iraq, zilikuwa Nchi huruJamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Kweli mkuu upon sahiihiiKwa kweli nilikuwa najiuliza kwa nini lissu apelekwe ubelgiji badala ya nchi nyingine mahiri kwa utabibu wa binadamu, kumbe ni mbinu nyingine ya kwenda jumuia ya ulaya kwa mgongo wa matibabu?
Hao wabelgiji si ndio walimuua Patrice Lumumba wa Congo kwa kumyeyusha na acid au?
Poor politics za cdm hadi mnatukera wapiga kura.
Ukombozi is a process. Second liberation ipo njiani.Ukombozi?kwani tuko chini ya koloni lipi ? Cheap politics
Mpiga kura wa tumbo lako!!! Poor shit hole.Kweli mkuu upon sahiihii
CcmUkombozi?kwani tuko chini ya koloni lipi ? Cheap politics
Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Huyo Lisu hana athari yoyote kwa nchi kwani hata huko wanaelewa kipindi alichopitia ni kigumu hivyo dishi haliko sawa kwa sasa hivyo wanampuuza tu.
Mbona kama mmeanza kubanwa na haja kubwaI wish sasa akiwa huko ulaya atapata exposure ya kutosha kuhusu mambo mbalimbali ya kimataifa.
Ili nchi ifikie kiwango cha kutajwa kama mahali ambapo si salama kuishi kuna vipimo vyake vilivyowekwa kimataifa. Tanzania hatukaribii kabisa hata kwa viwango vile vya kushawishi jumuiya hizo.
Tufanye kazi jamani, mkitegemea eti hao viongozi watakuwa na jipya kwa hayo Lissu atakayowaambia mtasubiri sana. Hata kule Myamar kuna mauwaji yanaendelea tena ya kutisha, lkn mpaka sasa umoja wa Mataifa unasua sua kuhusu hatua za kuchukua. Hapa kwetu ni kitu gani kimefanyika cha kuwashawishi hao ndugu kutuwekea vikwazo.
It is a wastage of time.
Naona unahangaikaMaigizo yenu yalishaajulikana toka kitambo sana kuwa mlitaka kutengeneza hii movie ili muendelee kuichafua nchi hii ktk nyanja za kimataifa, huu ni uadui kama uadui mwingine Lissu hana tofauti na gaidi au mhujumu uchumi, mmetafuta madaraka kwa nguvu mmekosa sasa mmeamua kuwatumia mabeberu lkn hamtofanikiwa, mtu wa aina hii hata akifa ni nuksi imeondoka ni laana na fitna imeondoka katka jamii yetu, lengo la Lissu na chadema ni kuona Tanzania ikigeuka Zimbabwe ya Afrika Mashariki huyu ni adui yetu na ukifanikiwa kupambana nae ni kupambana maana unapata heshma kumuondoa nduli huyu, ngoja tuone mwisho wake lkn najua sio mzuri maana havumiliki hata kidogo haswa kwa wazalendo
Wazungu ndio wameweka serikali ya magufuli mjini chanjo dawa za ukimwi majengo ya theatre kuzalia kutibu fistuls Saggot umeme w REA maji chanjo za mifugo uboreshaji wa miji na utawalaKwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..
Uhuru wa kuua watu kwa kutofautiana mitizamo ya kisiasa, ni huru kwa kutunukia washenzi PhD fake, ni huru kwa kukubali kuongozwa ki kabila, ni huru kwa kumtizama mtu anajenga kwao bila aibu kwakutumia fedha za walipa kodi wa nchi, ni huru kwa bashite kuwa mkusanya mali za mtawala kiasi kwamba hata afanye madudu gani haguswi zaidi sana anapongezwa. Kama Uhuru wenyewe ndio huo bora wote tufe, Uhuru wa shitholes.Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Tena shithole nambari moja, hasa ktk awamu hii ya uongozi.Vipi! Katika zile shitholes country imo tz?
Uzalendo na matendo ya kishenzi yanayotendeka, siufagilii uzalendo shit.Majizi chadema somo la uzalendo kwa nchi yao walipata zero kabisa.
Wasioitakia mema Tanzania hawatapenya.
Kivutio kikubwa ni wenye PhD feki wenavyokaza miuli na kurusha mikono kila wanapohutubia.asisahau kutumia fursa hiyo kutangaza na vivutio vya watalii tulivyonavyo, ili kukuza pato la taifa.