Vipi umebarehe juzi kwenye siasa nini??Hizi IDs zenu za Lumumba zinapata tabu sana kipindi hiki, mtakufa na msongo wa mawazo, Lissu hazuiliki, mnakazana kumtetea mtu asiyekubalika na watanzania, Lissu ndiye chaguo sahihi la watanzania, anapendwa, halazimishi watu wamsifie kama Magu
Watanzania saa imefika Sasa ya kuambiana ukweli,wananchi wamefilisikia 100% na hawajui hata kesho wakiamka watakula Nini Wala hawajui kinachoendelea kimaisha.watu wamezuiliwa mikutano miaka 5 hawaongei,hawakutani, Sasa wamepata sehemu ya kukutania na kuongelea.wafanyabiadhara wanalia,watumishi wa umma wanalia,waliomaliza vyuo wanalia,wakulima wanalia,vyetu hewa wanalia,wastaafu wanalia,wanafunzi wanalia,wafungaji wanalia,private sectors zinalia,wanaoteuliwa wanalia,wanaotumbuliwa wanalia, Bora wakamsililize TL.Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!
Tukutane Kimandolu hadi Moshi mjini!
Kafa mkapa kwa corona na ulimwengu mzima unajuaSubiri tarehe hiyo ndiyo utajua nchi hii ina watu makini. Si umeona kwenye corona umeshindwa kuendelea kutangaza vifo!!
hata kuandika hujui umejiungaje na JF we kilazaVipi umebarehe juzi kwenye siasa nini??
Ndio Hawa hapa.hata kuandika hujui umejiungaje na JF we kilaza
Mbona hujaweka picha ya mama yako akiwa hapo pembeni akipata wine piaAcha kunizushia mwenyewe nilipo Nina sonona [emoji34]View attachment 1535357
Aisee, kumbe ataitikisa Arusha??Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!
Tukutane Kimandolu hadi Moshi mjini!
Sisi tunawabeba na maloriVipi na barabara watadeki?
Toka hapa katawazeVipi umebarehe juzi kwenye siasa nini??
Unafanya kazi nzuri sana ya updatesIjumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!
Tukutane Kimandolu hadi Moshi mjini!
Very symbolic!
Ungejua mifumo tuliyoweka! Tuliwatega mkaingia kama mafisi yaliyotegwa kwa minofu
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
ndugu ondoa shaka, huko nako tutafika tu ni swala la mudambeya atakuja Lin mkuu?
Utaratibu wa kumdhamini ukoje mkuu?Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!
Tukutane Kimandolu hadi Moshi mjini!
Moto utawakaUngejua mifumo tuliyoweka! Tuliwatega mkaingia kama mafisi yaliyotegwa kwa minofu
Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!
Tukutane Kimandolu hadi Moshi mjini!
Mkuu tupe ratiba ya barabara atakazopita Maelfu ya wanaArusha wanataka kujitokeza kumlaki MKOMBOZI ..ikibidi uzi specialIjumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!
Tukutane Kimandolu hadi Moshi mjini!
ha ha ha!!Aliyetikisa leo kwa hili tetemeko hadi huku Dar ni nani?
Au wajumbe[emoji23][emoji23]