Uchaguzi 2020 Lissu, kuna kila dalili wenye CHADEMA yao hawakutaki ugombee urais, kama vipi twen'zetu ACT Wazalendo

Yaani kama na hili unaliamzishia Uzi basi naanza kuwa na shaka na nyuzi zako. Jipe muda wa kupembua utaona kilicho mbele.
 
Kale kagenge ndani ya CHADEMA kanaendelea na kazi ya kumshughulikia Lissu. Msikilize Lema.

Maneno haya ndio wanayoambiwa wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama kwa sasa
View attachment 1480627

Lifanyikalo gizani linawekwa hadharani

Lissu akiisikia clip hii inabidi akae afikirie mara mbilimbili

Kama alidhani ana baraka za uongozi wa Chadema kupeperusha bendera ya chsma hicho kwenye uraisi basi ajipange upya. This is not the case!
 
Sisi sio Kama ccm hata angechukua fomu pekeake angepigiwa kura za Ndio/hapana Kama kwa Sumaye uchaguzi uliopita.

Vipi na Lowasa mlimpigia hizo kura za NDIYO/HAPANA 2015?
 
Kweli kabisa

Yani hata Lissu kichwa kinauma sana

Sio kwamba hayaoni, anayaona sana, hana namna
Hizo ndiyo mbinu zenu zilizobaki wanaccm.....

Mmekuwa wapiga ramli tu.......

Huko kwenu CCM ndiyo Jiwe pekee keshapitishwa......

Wapambe wanaendelea kumsifu na kumuabudu hadi wanakufuru na kumfananisha na Yesu Mwokozi!
 
Chadema hawawezi kumuweka mbele Lissu peke yake ikiwa kuna hatari akasumbuliwa kkurudi , muda ukifika watajitoa wengine na huenda mgombea akawa Lissu au Nyalandu
 
Wewe huoni kuwa badala ya sasa kumpa ushirikiano mtu anayeweza kumchallenge Magufuli wao wanaanza kujifanya wanachokua fomu na kuwachelewesha wananchi kuungana nyuma ya mtu anayeweza kumchallenge Magufuli?
Mbona unataka kushuka kabla ndege haijasimama.Yaani watu wako kwenye hatua za awali kabisa za watu kutangaza nia wewe umeshaanza kusema mambo yasiyoeleweka.Unataka ushirikiano gani sasa kwenye hatua hiyo.
 

Kesi siyo kigezo cha kumzuia mgombea wa Chadema kugombea iwapo chama kitarally behind him.

Kitendo cha kuwapa CCM option kuwa Chadema ina wasiwasi na ugombea wa Lissu kitawafanya CCM wamshughulikie Lissu kweli kupitia mahakama. Lakini kama Chsdema itasema kuwa huyu ndo mgombea pekee tuliye naye hatuna mwingine, basi serikali ya CCM haitomshughulikia kwa sababu kufanya hivyo kutaondoa credibility ya zoezi zima la uchaguzi kitu ambacho Magufuli anakiogopa sana,

ili aweze kupata mikopo ma misaada nje ya nchi na kujaribu kujenga taswira kuwa alishinda kihalali na hivyo hatamshughulikia Lissu kumdiscredit kugombea.. Lakini hili linawezekana tu kama chama kitatuma meseji kuanzia sasa kuwa huyu ndo likely candidate wao!

Ila Chadema wakionyesha wasiwasi kwenye candidacy ya Lissu basi serikali ya CCM itacapitalize ktk hilo kumshughulikia kweli
 
Missile of the Nation CHADEMA imepita ktk mapito mengi mno, kwa wanazichanga karata zao kwa umakini mno. Sidhani kama Mwenyekiti na Makamu wake wanaweza kukosa umakini kwa wakati mmoja na kuingia kwenye kinyang'anyiro cha nafasi ya uraisi bila ya kushauriana pamoja.
 
Missile of the Nation,
LOooo, nimeshindwa kufika mwisho wa makala.

Hebu kwanza nikuulize, huko ACT-Wazalendo wewe ni nani?

Hilo swali ni pana sana, na ukitaka kulijibu jitahidi kulielewa vizuri.

Sitaki kukuchanganya kwa kuweka ufafanuzi juu ya hayo niliyosoma kwenye mada yako mwanzo hadi nilipoishia katikati.

Maadui wa ukombozi hujitokeza kwa njia mbalimbali, hata wakati wanapojinadi kuwa wapo pamoja na wapambanaji.
 
Wewe huoni kuwa badala ya sasa kumpa ushirikiano mtu anayeweza kumchallenge Magufuli wao wanaanza kujifanya wanachokua fomu na kuwachelewesha wananchi kuungana nyuma ya mtu anayeweza kumchallenge Magufuli?
Hayo ni mambo ya ndani ya chama. Atakayepita utaona chama chote kiko naye.
Mbona mnateseka hivi? Malizaneni na Membe kwanza huko kwenu tukutane kwenye kampeni.
Mwaka huu mtaruka samasoti hadi kuchama msamba!
 
Nazidi kukubaliana na maoninya mtoa mada.
 
Huwa na mashaka sana na wewe kama kweli unataka kuona upinzani nchi hii unaimarika.
Mbona huyo anaeleweka vizuri toka mwanzo wake humu JF.

Tatizo ni kwamba kumbukumbu kwa wengi, kama ilivyo 'usahaulifu' kwa waTanzania wengi ndio shida.
 
Wewe huoni kuwa badala ya sasa kumpa ushirikiano mtu anayeweza kumchallenge Magufuli wao wanaanza kujifanya wanachokua fomu na kuwachelewesha wananchi kuungana nyuma ya mtu anayeweza kumchallenge Magufuli?
Kwani kuchukua fomu ndio hatua ya mwisho?
 
Hiyo ACT unayomshauri TL kuhamia, mbona imo kundi moja na TLP, CUF, na vile vingine vinavyomilikiwa na sisiemu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…