usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,898
Sheria za kuvukia barabara izoYeyote atakayepeleka kesi ya kipuuzi namna hii kwenye mahakama tukufu na wote watakaomtetea wafutiwe leseni ya uwakili na kunyang'anywa muhuri!
labda kama mtatumia sheria za kisukuma lakini kwa sheria za mzungu huyo polisisiemu ajiandae tuhahahaha nitajitoa JF moja kwa moja hiyo case Tundu Lissu akishinda hahahahaha wapumbavu na malofa wanapoteza muda wakifikiri kuna case....
Unajua maana ya mtuhumiwa au unajiandikia tuu??Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM.
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Kama hujui sheria nchi hii utaonewa sana. Msomi Fatma karume amekataa kuonewa.Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
....Nadhani wanafanya counter attack na mapolisi jinsi wanavyojaa mahakamani kwenye kesi za Lissu as if Osama kakamatwa.Yaani polisi kukushika bega unaandaa mawakili 29? Ni upumbavu na ulofa ulopitiliza
Kwani polisi wanaruhusuwa kuwakamata kwa nguvu? Amri toka juu ndizo huwafanya polisi kujiona wapo juu ya sheria, hii kesi itasaidia watanzania kutambua haki zao.Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
kwa sheria za kizungu tunaimani ila wakitumia za kisukuma tumekwishakwa hiyo mna imani na mahakama?
kwa hiyo mna imani na mahakama?
nimeipenda sana hiiRais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM.
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
kwa hiyo mna imani na mahakama?
Na wao wakiamua kuwafungulia mashitaka utakuwepo kuwatetea?Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?