Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Ulisikia anatafuta mpenzi shoga? Watu wapo busy na mustakabali wa nchi na maisha ya watu milioni 60 we unaongelea mapenzi hapa? Ukapimwe uzito wa ubongo wewe. Ukimchukia wewe anapungukiwa na nini? We nani nchi hii kwamba ukichukia mtu basi watu wazungumze? We ni njia kwamba watashindwa kupita? Usijipe umuhimu kwenye maisha ya watu wewe kijana huna lolote la maana hata kodi hulipi achana na watu wanaoshughulika na maisha ya wananchi huko!Namchukia sana Lissu
show nyepesi kama za kuwaelezea vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hazihitaji usaidizi kabisa gentleman,Hahaah kweli mkuu ya kibobevu, mtag na mwashamba aje kuongeza ubobevu!
LISSU NI MPANGO WA MUNGU.Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.
Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.
Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k
Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.
Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.π
Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen π
Bahati mbaya sana hizi propaganda chafu hazijaleta matokeo hadi sasa! Tusubiri sanduku la kura liongee mambo yaishe! Lissu yupo level ingine kabisa na alisema hamna internet warrior anamshughulisha, yupo busy na mambo ya kitaifa kama kupinga rushwa toka ofisi kuushow nyepesi kama za kuwaelezea vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hazihitaji usaidizi kabisa gentleman,
kwa wakati muafaka wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema wanawajibika kumrejesha kwa mabwenyenye kwa aibu π
Gentleman,Bahati mbaya sana hizi propaganda chafu hazijaleta matokeo hadi sasa! Tusubiri sanduku la kura liongee mambo yaishe! Lissu yupo level ingine kabisa na alisema hamna internet warrior anamshughulisha, yupo busy na mambo ya kitaifa kama kupinga rushwa toka ofisi kuu
Chukia ujinga wako!Namchukia sana Lissu
Kwa sisi tulio kulia uswahilini kuna maisha flani ambyo mama zetu wanatulea mfano wa hayo malezi ni kuficha kopo la asali na huku ukiamini ndani kuna asali. Sasa basi huyohuyo mama akitaka wewe usicheze mbali asali uwa hafichi kwa maana anajua utakua unaenda kucheza na baadae unaenda kuiba asali kwa siri na kulamba,kwa mfano huo ndio maana huyu mama wa kiafrica ambaye Lucas Mwashambwa akimuona anabubujikwa na machozi ya furaha tele ndio amemfanyia Mbowe & co na hawachezi mbali maana asali ipo kwenye mezani ni mwendo wa kulamba kwa siri ili kamanda LISSU asiskie.actually,
muungwana ni mpango wa mabwenyenye ya magharibi kupenyeza ukoloni mambo leo Tanzania,
mengineyo ni upotoshaji wa kupuuzwa tu gentleman π
Chukia na huo ujinga ulionao kichwaniChukia ujinga wako!
ni muhimu zaidi ukafunguka yote gentleman,Kwa sisi tulio kulia uswahilini kuna maisha flani ambyo mama zetu wanatulea mfano wa hayo malezi ni kuficha kopo la asali na huku ukiamini ndani kuna asali. Sasa basi huyohuyo mama akitaka wewe usicheze mbali asali uwa hafichi kwa maana anajua utakua unaenda kucheza na baadae unaenda kuiba asali kwa siri na kulamba,kwa mfano huo ndio maana huyu mama wa kiafrica ambaye Lucas Mwashambwa akimuona anabubujikwa na machozi ya furaha tele ndio amemfanyia Mbowe & co na hawachezi mbali maana asali ipo kwenye mezani ni mwendo wa kulamba kwa siri ili kamanda LISSU asiskie.
Chukia na huo ujinga ulionao kichwani
Lissu ameshajipambanua kwamba yeye ni mwana mageuzi na ni mpiganaji huru anaejielewa na kujitambua shida ipo kwa chadema ya sasa mwenyekiti akiwa mbowe atasomeka ni mpiga dili na wenje respectively,Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.
Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.
Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k
Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.
Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.π
Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen π
Kwa UWT si ajabu kuwa na chuki na wivu wa kikeNamchukia sana Lissu
Jinga wewe, ngoja tuweke mgombea binafsi alafu uje tuandike upuuzi wakoNi wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.
Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.
Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k
Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.
Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.π
Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen π
wajumbe wengi ni undercover wa tiss, wanamuunga mkono Mbowe. TAL hawezi kushinda.Ni wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.
Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.
Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k
Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.
Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.π
Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen π
Wenye akili tunataka TAKUKURU wamkamate Abdul wanfunuliebmashtaka ushahidi upo waziNi wazi kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa anayogombea, anapingwa vikali sana kwenye chama chake, na kwahiyo tunaweza kuhitimisha kwamba hataweze kupewa ridhaa hiyo na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema.
Ni dhahiri,
hekima, busara na mdomo wa huyo muungwana is completely not presidential material. May be alistahili zaidi kua afisa propaganda wa chadema kuliko nafasi alonayo mpaka sasa.
Ni mgomvi na mwenye uhasama karibu na kila kiongozi muandamizi wa ngazi za juu wa chadema, huku akiwapa viongozi wenzake tabasamu la kinafiki wakikutana pamoja kwenye press conference n.k
Kupingwa na kukataliwa kwake na ndani ya chadema karibu yote ni uthibitisho kwamba muungwana hakubaliki nje ya chadema pia.
Hiyo ikimaanisha kwamba,
kushindwa kwake uenyekiti wa chadema Taifa, ni kushindwa kwake vibaya zaidi nje ya chadema. Kwa kifupi muungwana ni fungu la kukosa.π
Mungu Ibariki Tanzania and Mary Christmas to you all my friends, ladies and gentlemen π
Huyu siyo mganga ni mzee wa hovyo wa CCM kuwahi kutokea katika history anaitwa Yusuph Makamba.JF sasa imevamiwa na waganga wa kienyeji wa ramli chonganishi
Shangaa!! CCM wanampigia kampeni FAM awe mwenyekiti wa Cdm, Wanasiasa nch hii mnatuonaje sisi raia?sure,
wakijua tu kwamba wewe ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi wanakutenga kabisa yaan, aise dah?
wajumbe bana dah π€£ π
ukifuatilia chambuzi za kisiasa za kitaalamu zilizojaa ukweli na uhakika Lazima upate mawenge,Shangaa!! CCM wanampigia kampeni FAM awe mwenyekiti wa Cdm, Wanasiasa nch hii mnatuonaje sisi raia?