G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Kesi ashtaki mahakama hizi hizi zetu au za the Hague?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hiyo unayoizungumzia ni ipi?
Hao mazwazwa ya lumumba?
Mkuu kama ni hao bado safari ni ndefu....
Sikumbuki kama waliomshambulia wameshakamatwa, kama bado ni nani atakaemhakikishia usalama wake atakaporudi kuendesha hiyo kesi?
ha ha, mahakama ikiamuru mtu alipwe analipwa hapo hapo!!'unachekesha sanaWakati bunge lingelipa dola 20000 (mfano) sasa wakiambiwa na korti walipe dola 100000 itakuwa wamefanya nini sasa? Wamemneemesha Lisu. Wataonekana ni matope tu!
Hata akishinda kesi hawatamlipa; tumshukuru tu Mungu wetu wa rehema kwa kumwinua tena mja wake. Mungu anatupenda, Mungu anampenda Lisu. Hana sababu ya kulipwa labda tu apende kufanya kesi ili kudhihirishia umma uwezo wake.
Acha kupiga porojo wewe utakuwa umetumwa na Lumumba kueneza propaganda humuHabari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.
Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.
Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.
Nabii Tito!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Nabii Tito - Jina limenichekesha sanaHabari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.
Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.
Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.
Nabii Tito!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kagame bhuna.Sema zuma wa tz
Kwa kuwa na Kanisa Katoliki limeingilia kati na uhakika atajirekebisha penda asipende...,Rais ccm anavunjisha Amani ya watanzania tumkemee kwa nguvu zote.
Swissme
Kwa kuwa na Kanisa Katoliki limeingilia kati na uhakika atajirekebisha penda asipende...,
Maana Kanisa Katoliki sio mchezo watabadilisha hali ya nchi mara moja.
Nani kakudanganya..??Hata akishinda kesi hawatamlipa; tumshukuru tu Mungu wetu wa rehema kwa kumwinua tena mja wake. Mungu anatupenda, Mungu anampenda Lisu. Hana sababu ya kulipwa labda tu apende kufanya kesi ili kudhihirishia umma uwezo wake.
Yani hii bima ambayo ukivuka Tanganyika haifanyi kazi, yani hata ukienda hapo Zanzibar inakuwa mfu ndio ikamtibie belgijiMwenye jukumu la kumtibu ni NHIF, serikali ilishamlipia bima, awashitaki NHIF.
Kwa kuwa na Kanisa Katoliki limeingilia kati na uhakika atajirekebisha penda asipende...,
Maana Kanisa Katoliki sio mchezo watabadilisha hali ya nchi mara moja.
Kuna jambo silielewi kuhusu kulipiwa matibabu kamanda Lissu.Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.
Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.
Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.
Nabii Tito!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Basi poa kwani huyo kwenye avatar yako ni we we....badi bonge ya totoAisee
Sikumbuki kama waliomshambulia wameshakamatwa, kama bado ni nani atakaemhakikishia usalama wake atakaporudi kuendesha hiyo kesi?