Tetesi: Lissu kutua nchini na kesi nzito dhidi ya Bunge na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Tetesi: Lissu kutua nchini na kesi nzito dhidi ya Bunge na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Wazima watakufa Lissu atabaki ili Mungu adhihirike kuwa yeye HAJARIBIWI wala HAPANGIWI nani wa kumchukua.
 
Nabii tito amefanyaje..?
Lissu atawanyoosha, ni chuma kilichovishwa nyama!
Malaika wanaomlinda ni kutoka mbingu za kifalme zenye mamlaka kamili na hii duniani na mbinguni milele yote!
Walipiga risasi wamemnyoosha kwelikweli
 
Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.

Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.

Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.

Nabii Tito!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam


Ahsante kwa taarifa
 
Nadhani cha msingi Kwanza ingekuwa kumuombea afike / awasili salama nchini na hayo mengine ndiyo yatafuata kwani ya Mungu mengi na Shetani nae ana mipango yake vile vile chini ya jua hili.
Tuacheni porojo, jambo la msingi ni kujadili kwa kina namna Lisu atakavyoendelea kuwa salama hapa nchini hasa baada ya wabaya wake kutojulikana sura wala malengo yao.
 
Rais wa watu afahimishe umma mapema lini anarejea ili tumpokea kwa kishindo cha kutikisa nchi.
 
Hatutaki ushabiki katika hili. Ni jambo zito linalohusu haki na stahiki za mbunge halali. Suala zima la planned assassination ya Lissu lisichukuliwe kimzahazaha. Kuna watu/viongozi wanapaswa kuwa implicated kwenye hii assassination kwa matendo yao ya kumnyima haki zake kwa makusudi na kutoa kauli tata kwa Taifa.
Who's been assassinated?
 
Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.

Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.

Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.

Nabii Tito!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kuna kila dalili ya Ndugai kufungwa .
 
Nabii tito amefanyaje..?
Lissu atawanyoosha, ni chuma kilichovishwa nyama!
Malaika wanaomlinda ni kutoka mbingu za kifalme zenye mamlaka kamili na hii duniani na mbinguni milele yote!
Ngoja tuone mwisho ila mtunze kumbukumbu, maana huwa hamchelewi kubadilika.
 
Ndio hapo sasa mkuu ila kwa vile tumeamua kila jambo kulifanyia siasa. Ngoja tuone maana tukielezea kiuhalisia wafuasi wa Lissu watatuona wachawi na kuitwa majina ya kifedhea.

All in all lissu akufuata utaratibu kwenye matibabu yake.


Tena koma kuita wafuasi wa Lissu kabisa hakuna ufuasi zaidi ya hayo maizi yenye kolera (Cholera) wa Lumumba
 
Nani kakudanganya..??
Unaijua sheria vizuri wewe...???

Mahakama ikiamuru kulipwa atalipwa mara moja na sio gharama za matibabu tuu..,hata gharama za kuendesha hiyo kesi pia zitalipwa.
Nawapenda tu mnavyoweza kujifariji.Big up.
 
Hofu ni utekelezaji (enforcement) wa hukumu kama ikitoka kwa kumpa haki yake je Serikali itaitekeleza km mahakama itakavyo amru??.

Maana USA kuna Rais alishawahi kuimbia mahakama "Let them enforce their own Judgment"
 
Hofu ni utekelezaji (enforcement) wa hukumu kama ikitoka kwa kumpa haki yake je Serikali itaitekeleza km mahakama itakavyo amru??.

Maana USA kuna Rais alishawahi kuimbia mahakama "Let them enforce their own Judgment"
The Cherokees sued. And eventually the Supreme Court, in Worcester v. Georgia, held in favor of the Cherokees. Georgia then refused to obey the Court. On May 19, 2003 President Andrew Jackson said,

"John Marshall has made his decision; now let him enforce it."

[emoji666] NOTE:
John Mashall was a Supreme court LJ.
 
Back
Top Bottom