kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Wazima watakufa Lissu atabaki ili Mungu adhihirike kuwa yeye HAJARIBIWI wala HAPANGIWI nani wa kumchukua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkatae ww na mmeoRais ccm anavunjisha Amani ya watanzania tumkemee kwa nguvu zote.
Swissme
Walipiga risasi wamemnyoosha kwelikweliNabii tito amefanyaje..?
Lissu atawanyoosha, ni chuma kilichovishwa nyama!
Malaika wanaomlinda ni kutoka mbingu za kifalme zenye mamlaka kamili na hii duniani na mbinguni milele yote!
Mahakama gani hiyo ya kuhukumu hilo? Za Tanzania hizi..sidhani.Wakati bunge lingelipa dola 20000 (mfano) sasa wakiambiwa na korti walipe dola 100000 itakuwa wamefanya nini sasa? Wamemneemesha Lisu. Wataonekana ni matope tu!
Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.
Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.
Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.
Nabii Tito!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Tuacheni porojo, jambo la msingi ni kujadili kwa kina namna Lisu atakavyoendelea kuwa salama hapa nchini hasa baada ya wabaya wake kutojulikana sura wala malengo yao.Nadhani cha msingi Kwanza ingekuwa kumuombea afike / awasili salama nchini na hayo mengine ndiyo yatafuata kwani ya Mungu mengi na Shetani nae ana mipango yake vile vile chini ya jua hili.
Who's been assassinated?Hatutaki ushabiki katika hili. Ni jambo zito linalohusu haki na stahiki za mbunge halali. Suala zima la planned assassination ya Lissu lisichukuliwe kimzahazaha. Kuna watu/viongozi wanapaswa kuwa implicated kwenye hii assassination kwa matendo yao ya kumnyima haki zake kwa makusudi na kutoa kauli tata kwa Taifa.
Kuna kila dalili ya Ndugai kufungwa .Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.
Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.
Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.
Nabii Tito!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mkemee mwenyewe!Rais ccm anavunjisha Amani ya watanzania tumkemee kwa nguvu zote.
Swissme
Ngoja tuone mwisho ila mtunze kumbukumbu, maana huwa hamchelewi kubadilika.Nabii tito amefanyaje..?
Lissu atawanyoosha, ni chuma kilichovishwa nyama!
Malaika wanaomlinda ni kutoka mbingu za kifalme zenye mamlaka kamili na hii duniani na mbinguni milele yote!
Ndio hapo sasa mkuu ila kwa vile tumeamua kila jambo kulifanyia siasa. Ngoja tuone maana tukielezea kiuhalisia wafuasi wa Lissu watatuona wachawi na kuitwa majina ya kifedhea.
All in all lissu akufuata utaratibu kwenye matibabu yake.
Sema zuma wa tz
Nawapenda tu mnavyoweza kujifariji.Big up.Nani kakudanganya..??
Unaijua sheria vizuri wewe...???
Mahakama ikiamuru kulipwa atalipwa mara moja na sio gharama za matibabu tuu..,hata gharama za kuendesha hiyo kesi pia zitalipwa.
Historia inaonesha hajawah shinda jambo lolote la kisheria dhid ya naibu spika tulia
acha uongo wewe dume jike wa lumumba huyo atakuwa Lissu wa hapo chatoLissu ameshatangazia dunia harudi tena Tz kwanini unampandikizia mambo yaliyopo nje ya mipango yake?
The Cherokees sued. And eventually the Supreme Court, in Worcester v. Georgia, held in favor of the Cherokees. Georgia then refused to obey the Court. On May 19, 2003 President Andrew Jackson said,Hofu ni utekelezaji (enforcement) wa hukumu kama ikitoka kwa kumpa haki yake je Serikali itaitekeleza km mahakama itakavyo amru??.
Maana USA kuna Rais alishawahi kuimbia mahakama "Let them enforce their own Judgment"
Lissu ameshatangazia dunia harudi tena Tz kwanini unampandikizia mambo yaliyopo nje ya mipango yake?