Tetesi: Lissu kutua nchini na kesi nzito dhidi ya Bunge na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Tetesi: Lissu kutua nchini na kesi nzito dhidi ya Bunge na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

mipango ikikamilika tujuzeni tujipigepige kuchangia ulinzi wake.hivi ni kweli nasikia kuna watu wameanza kuharisha,baada ya kusikia 'chuma cha pua' kitarejea siku si nyingi??!!
 
Kuna jambo silielewi kuhusu kulipiwa matibabu kamanda Lissu.
Hivi mbunge akiumwa anajipeleka tu kienyeji hospitali yeyote duniani na kuliagiza bunge limlipie?
Nauliza hivi kwa sababu kote huko alikoenda kajiamulia mwenyewe na Mbowe.

Go back to school Dude


You don't know nothing about politics in Tanzania

Kacheze forex na LAKI SI PESA .



SWISSME
 
ha ha, mahakama ikiamuru mtu alipwe analipwa hapo hapo!!'unachekesha sana

kuhidhinisha malipo ikulu inahusika,na serikali inaweza ikasema haina hela!!
Lengo la kesi hapo sio kulipwa, lengo ni kuweka rekodi sawa kwaajili ya rejea ya vizaz vijavyo, mahakama ikimpa ushindi tu wa kesi inatosha
 
Historia inaonesha hajawah shinda jambo lolote la kisheria dhid ya naibu spika tulia
 
Wakati bunge lingelipa dola 20000 (mfano) sasa wakiambiwa na korti walipe dola 100000 itakuwa wamefanya nini sasa? Wamemneemesha Lisu. Wataonekana ni matope tu!
Watakataa pia kulipa, kumbuka kuna kesi waliamriwa na mahakama kulipa wakakataa.
 
Kuna jambo silielewi kuhusu kulipiwa matibabu kamanda Lissu.
Hivi mbunge akiumwa anajipeleka tu kienyeji hospitali yeyote duniani na kuliagiza bunge limlipie?
Nauliza hivi kwa sababu kote huko alikoenda kajiamulia mwenyewe na Mbowe.
Ndio hapo sasa mkuu ila kwa vile tumeamua kila jambo kulifanyia siasa. Ngoja tuone maana tukielezea kiuhalisia wafuasi wa Lissu watatuona wachawi na kuitwa majina ya kifedhea.

All in all lissu akufuata utaratibu kwenye matibabu yake.
 
Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.

Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.

Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.

Nabii Tito!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
You might be opsonizing him unknowingly...
...for yet another encounter!
 
Hata akishinda kesi hawatamlipa; tumshukuru tu Mungu wetu wa rehema kwa kumwinua tena mja wake. Mungu anatupenda, Mungu anampenda Lisu. Hana sababu ya kulipwa labda tu apende kufanya kesi ili kudhihirishia umma uwezo wake.
Atakaeshitakiwa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mzee roho mbaya, hata akikomaa asilipe hadi atoke madarakani watakao fuata watalipa na riba kibao.
Sishangai kuona ya Bombardier yanajirudia kwa Lisu
 
Atakaeshitakiwa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mzee roho mbaya, hata akikomaa asilipe hadi atoke madarakani watakao fuata watalipa na riba kibao.
Sishangai kuona ya Bombardier yanajirudia kwa Lisu
Duh! kwani hukumu tayari kamanda?
 
Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.

Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.

Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.

Nabii Tito!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Unaniacha hoi sana kwenye hiyo aka ya nabii Tito
 
Mbona hashukuru waliomchangia.. anaishia kufikiria tumbo lake.. kwasababu hana deni la matibabu.. hizo pesa angekuwa anataka kudai aendeleze wananchi wake na kutenda mema jimboni kama shukurani kwao ingeeleweka..
Kweli pesa ni jambo lingine kwa viongozi kama yeye
 
Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu maslahi yake ya kibunge akiwa mgonjwa.

Lissu ambaye yuko nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu ya kutibu majeraha ya karaha ya risasi alizoshambuliwa nyumbani kwake Dodoma, tayari ameshakusanya nyaraka mbalimbali zinazoonesha kuwa anatengwa na maslahi hayo ya kibunge huku wengine wakiyapata bila tabu wala aibu.

Taarifa nilizonazo ni kuwa Lissu tayari ameshaanza kuandaa nyaraka za kimahakama za kudai maslahi yake hayo mara tu atakaporejea nchini siku za karibuni. Lissu ameapa kujiwakilisha na kujieleza (kwa maana ya kuendesha kesi yake) mwenyewe ili auanike ukweli kwa umma.

Nabii Tito!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Lissu ameshatangazia dunia harudi tena Tz kwanini unampandikizia mambo yaliyopo nje ya mipango yake?
 
Sikumbuki kama waliomshambulia wameshakamatwa, kama bado ni nani atakaemhakikishia usalama wake atakaporudi kuendesha hiyo kesi?
Ndio maana kasema harudi tena Tz, namshangaa huyo anayemdalalia lissu kurudi bongo.
 
Nadhani cha msingi Kwanza ingekuwa kumuombea afike / awasili salama nchini na hayo mengine ndiyo yatafuata kwani ya Mungu mengi na Shetani nae ana mipango yake vile vile chini ya jua hili.
Aombewe mtu asiyetaka kurudi bongo?
 
Hii Nchi Ukiwa Mpinzan Itaish Kwa Shida Sana

Zen Tunasema Tz Kuna Democracy Daaaahhh Life Is Not Fair
 
Back
Top Bottom