Kuna jambo silielewi kuhusu kulipiwa matibabu kamanda Lissu.
Hivi mbunge akiumwa anajipeleka tu kienyeji hospitali yeyote duniani na kuliagiza bunge limlipie?
Nauliza hivi kwa sababu kote huko alikoenda kajiamulia mwenyewe na Mbowe.
..kuna mambo nadhani manne ambayo bunge lilipaswa kumhudumia.
1. Usafiri kwenda na kurudi ktk matibabu.
2.gharama za matibabu.
3.posho ya mbunge aliyeko kwenye matibabu.
4.posho ya msaidizi anayemuuguza.
..kwa maoni yangu, serekali inaweza kumshinda ktk hoja namba 1 na 2, lakini sioni jinsi gani watamshinda ktk hoja ya 3 na 4.
..lakini ukumbuke kwamba hukumu yoyote inaathiri maamuzi yanayofuatia. Kwa hiyo wakikataa kugharimia matibabu ya TL Nairobi Bunge litakuwa limejifunga mikono kumhudumia mbunge mwingine nje ya Muhimbili na India.