Lissu, Leo Dkt. Slaa ni rafiki yako, unakuwa mwepesi wa kusahau au ni unafiki kwa vile alikuunga mkono dhidi ya Mbowe? Jikumbushe kidogo

Lissu, Leo Dkt. Slaa ni rafiki yako, unakuwa mwepesi wa kusahau au ni unafiki kwa vile alikuunga mkono dhidi ya Mbowe? Jikumbushe kidogo

Unakumbuka kauli hii ya Slaa alipokuwa mpambe wa Magufuli?





View: https://www.youtube.com/watch?v=ajFGQ0wQdOk

Mkuu siasa haigandi, haina urafiki wala uadui wa kudumu isipokuwa maslahi ya kudumu!
 
Inamaana hadi keo hujaweza kuungananusha nukta kuhusu tukio hilo, (like), swali dogo kwanini walinzi waliondolewa area D, na ni nani aliwapangia zamu Kwa siku hiyo

We can not be brainwashed at all times
OUT OF CONTEXT. NASEMA LISU AMESAHAU KUWA SLAA ALIMBEZA KUWA KUPIGWA RISASI IS NO ISSUE...to Slaa that was OK..kufa asife it was OK for him!
 
Binafsi naamini mambo huwa yanaisha, wala tusiwe na nongwa, tena wakristu huamini kuna baraka kupatana na mbaya wako. Maisha yaendelee
Unampigia Mbuzi gitaa. Haya mafundisho hayamhusu huyu
 
Kazi ipo safari hii, ukifika muda muafaka wakati wa kampeni propaganda zikishika hatamu CDM kazi wanayo.
 
Back
Top Bottom