Lissu, Leo Dkt. Slaa ni rafiki yako, unakuwa mwepesi wa kusahau au ni unafiki kwa vile alikuunga mkono dhidi ya Mbowe? Jikumbushe kidogo

Lissu, Leo Dkt. Slaa ni rafiki yako, unakuwa mwepesi wa kusahau au ni unafiki kwa vile alikuunga mkono dhidi ya Mbowe? Jikumbushe kidogo


Kuna wanasiasa wazuri nchi hii lakini sijui kwanini mimi siwaamini hata chembe nao ni Dr. Slaa na ZZK. Na hawa watu asee nilikuwa nawapenda sana ila, vimbanga vyao nimekosa imani nao hata kidogo, Hivi sasa Kwa mbali naanza kumuongeza na Mwamba. Imani inaanza kunitoka sababu ya action zake zakutowapenda wakweli wakati ni yeye mwenyewe aliwatengeneza na kuwafunza siasa za ukweli lakini kwa sasa mkweli yoyote ni adui kwake na anaweza akamfanyia chochote. Ukichezea mwamba kwa sasa anaweza hata kukutoa Roho.
 
Mkuu siasa haigandi, haina urafiki wala uadui wa kudumu isipokuwa maslahi ya kudumu!
Sahihi kabisa siunaona Ruto alivyo mfanya Gachagwa alipo ona ametimiza malengo yake akamfyekelea mbali bila huruma. Kwahiyo siasa yule Rafiki yako wa leo anaweza akakugeuka kesho akakuua
 

Lissu ni Mwanasheria dogo. Na siasa haina Rafiki wala Adui wa Kudumu.
Mbowe aliambiwa na Samia kuwa ni gaidi lakini siku ametoka aliwahi kwenda kuonana na Samia na kunywa chai. Na abdul akawa anawasiliana naye since then. Then Mbowe huyu huyu akawa anaomba omba pesa kwa Samia. Na aliwekwa ndani karibia Mwaka mzima akiitwa Gaidi.

Kama unampenda sana Mbowe nenda kaishi naye.... Elewana tu na mkewe.🤣
 
Binafsi naamini mambo huwa yanaisha, wala tusiwe na nongwa, tena wakristu huamini kuna baraka kupatana na mbaya wako. Maisha yaendelee

Watu hawaeleei ugonmvi wa kisiasa. Wamexoweshwa unafiki wa CCM.

Wabasahau kuwa hata huko CCM, 2015 Nchimbi walimuonq Msaliti leo wansmshangilia.
 
😂 😂 😂 Retired ameshindwa kabisa kumove on baada ya bwanake Mbowe kupigwa chini
 
Unampenda sana Mbowe, hayo mahaba yako kwa Mbowe si ya nchi hii.

Mbona mama Abdul alimfunga Mbowe kuwa ni gaidi ila Mbowe leo ni rafiki wa pika pakua wa mama Abdul hadi alitaka kuwaweka pembeni kina Lisu, Heche na Lema ili kipenzi chake asisumbuliwe!?
 
Back
Top Bottom