Nimehudhuria mafunzo ya JKT kwa kipindi cha mwaka mmoja kabla ya kuanza kuwa miezi sita sita, na cheti ninacho. Kama na wewe umepitia huko, kumbukia kwata ya bunduki, range, guard na mafunzo ya vita porini ambako kuna ku-charge, commanding post.Wewe sidhani hata kama ulishashika bunduki.
Kwa kipi sasa? Hiyo kusimama jukwani na kumtukana Magu kwamba ni mshamba?Kuna mtu humu alitoa onyo kuwa siku 60 ni nyingi sana kumpa mtu kama Lissu ila hawakumsikiliza.
na wewe na Lisu wote akili hamnaMpumbavu ni yule anayedanganya wapumbavu wenzie kuwa kitambulisho kisicho na jina kinaweza kutumika kuombea mkopo benki.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Na wewe na Lisu wote akili hamnaJibu hoja ya Lissu kuhusu kitambulisho kisichokuwa na Jina Picha wala Sahihi unaweza kwenda kukikopea Benki ?..mwacheni Lissu amkimbize mwizi wake
SI KUCHEKESHA TULisu anachekesha kwa kweli
Kitambulisho cha NIDA chenyewe huwezi kopa sembuse hii stikerMgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.
"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Acheni kutapeli wananchi, kama leseni yenyewe ina details zote na huwezi kukopa hiyo takataka utakopa nini?Na wewe na Lisu wote akili hamna
Hicho kitambulisho kiko kama namba ya simu kwani namba yako ya simu ina picha ?mbona unaweza kukopa MPESA,tigo pesa ,AIRTEL MONEY nk hadi mamilioni?
hizo namba ziko tied na information zilizoko kwenye kitambulisho cha taifa kama ambavyo namba za simu ziko tiede kule
ukiita hiyo namba ya ktambulisho cha machinga unapata particulars zote za mwenye nacho kutoka kitambulisho cha taifa hadi picha
Lisu hayuko vizuri kwenye mambo mengi mno ndio maana tunasema he is not a presidential material
Na nyie wasomi koko wa chadema hovyo kabisa.Ndio maana msomi anayejielewa hawezi jiunnga na chadema is a hopeless party
Hivi unaamini utatumia uongo huu kwa watu wa JF?na wewe na Lisu wote akili hamna
hicho kitambulisho kiko kama namba ya simu kwani namba yako ya simu ina picha ?mbona unaweza kukopa MPESA,tigo pesa ,AIRTEL MONEY nk hadi mamilioni?
hizo namba ziko tied na information zilizoko kwenye kitambulisho cha taifa kama ambavyo namba za simu ziko tied kule
ukiita hiyo namba ya ktambulisho cha machinga unapata particulars zote za mwenye nacho kutoka kitambulisho cha taifa hadi picha
Lisu hayuko vizuri kwenye mambo mengi mno ndio maana tunasema he is not a presidential material
Na nyie wasomi koko wa chadema hovyo kabisa.Ndio maana msomi anayejielewa hawezi jiunnga na chadema is a hopeless party
Wewe ulikitumia kuolea mke, pia yangu uzaliwe haujawahi kuingia benki hata kumsindikiza shangaziyo.Huyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Mkuu acha matusi siasa Kama huna uvumilivu utapata tabu Sana,na raha ya siasa ni vijembe mkuu,siasa ni sayansi punguza au acha kabisa matusiHuyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Ona huyu naye alivyokuwa mjinga...jinga lingine hili. Mshamba kama boss wake.na wewe na Lisu wote akili hamna
hicho kitambulisho kiko kama namba ya simu kwani namba yako ya simu ina picha ?mbona unaweza kukopa MPESA,tigo pesa ,AIRTEL MONEY nk hadi mamilioni?
hizo namba ziko tied na information zilizoko kwenye kitambulisho cha taifa kama ambavyo namba za simu ziko tied kule
ukiita hiyo namba ya ktambulisho cha machinga unapata particulars zote za mwenye nacho kutoka kitambulisho cha taifa hadi picha
Lisu hayuko vizuri kwenye mambo mengi mno ndio maana tunasema he is not a presidential material
Na nyie wasomi koko wa chadema hovyo kabisa.Ndio maana msomi anayejielewa hawezi jiunnga na chadema is a hopeless party
Hawa MATAGA ni wa kuwaonea huruma tu. Hamnazo kichwani.Acheni kutapeli wananchi, kama leseni yenyewe ina details zote na huwezi kukopa hiyo takataka utakopa nini?
Uongo tena wa hali juuKitambulisho cha NIDA chenyewe huwezi kopa sembuse hii stiker
Mchungaji hawezi kemea shetani bila kumtajaHuyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Lisu akili kubwa mpuuzi ni yule mshamba mpuuzi mwenzakoHuyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Hakuna hoja yoyote hapo.Jamaa hana sera,kazi kumpakazia Magu.
Nimeamini kweli watu wanaoshabikia ccm ni mamburula,mbona upo off point au ilimradi tu ujitoe ufahamu kisa buku saba
Mpumbavu ni wewe unaeamini kila analosema Meko ni sawa..Huyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?