mm niache utoto kwan nko kwenye hilo saccos lenu? kila mda mnalalamika sabaya utadhan sabaya ndo hai nzima, jiandaeni kisaikolojia
Umeamua kutuchomekea?Picha za arusha baadhi ndizo izo
heri ungebadilisha hiyo picha sista manake Bob atakuwa analia unavyomtumia sivyoNipo Arusha
Watanzania walio wengi washamchoka hata kabla kipenga hakijalia.Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.
Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
CCM roho zinawauma sana sasa hichi nini kama sio mafuriko bla bla tu
Siyo kilichotegemewa arusha ndugu yangu... Walihaid shughuli kufungwa.CCM roho zinawauma sana sasa hichi nini kama sio mafuriko bla bla tu
Hatulalamiki bali tunaweka rekodi sawa. Huyo Sabaya ndio anayeagiza hayo, wilaya ziko nyingi nchi hii, kwanini huo mchezo wa mawe uwe Hai tu? Halafu unaleta hapa kwa sifa, bila kujua hiyo siasa siasa bali unajivunia uhalifu.
Back up your story by images. PropagandaNikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.
Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Ni kweli leo humu jamvini kumetuliaHabari bila video au picha inakuwa haijakamilika
Ungeweka Picha tuone, otherwise ni uzushi tu kama uzushi mwengine wowote uleNikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.
Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Uko sahihi wengi walikuja kushangaa vyuma mwilini Lakini si kusikiliza sera kwa Kuwa Ni kichaaNikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.
Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Kama.upo Arusha basil Italia umelewa sana India Dema Tv inapatikana YOU TUBENipo Arusha
Wewe chukia tu, ukitaka upasuke kabisa Mkuu!!Mtu badala ujikite kwenye sera zinazolenga watu unaishia kusema Mara kwà kifungu na ibara kadhaa Rais anatoa rushwa hayo yanatuhusu nini Sisi!!!Aisee nayachukia haya magamba!!!
Mbona nyie wa chama chakavu siku zoote mnafanya kampeni?!Huoni kama yeye amekwisha anza kampeni?
Hata kwenye hiyo kampeni hana jipyaAjielekeze kwenye kutatua kero za wananchi, kwani kampeni zimeanza? Subiri kampeni ndiyo uje utoe uharo wako hapa!
Hivi hawa jamaa hawana vijana wa kubuni mbinu mpya? Kila mbinu zinabumaUnilipulie bomu kama mlivyofanya ofisi yetu? Au unadhani hatujui?