Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Aisee kuanzia njiro, unga ltd, mianzini, kwa mromboo, east africa road, msongamano hatari, magari hayaendi ni nyomo ya kufa mtu chali wangu. Jamaa hapa nimafuriko haya zuiliwi kwa viganja chaliwangu hapa ngarenalo ni balaaa
Uvccm wanateseka
 
Mkuu huoni Kama hapo ni barabarani au wewe macho yako yameona hadi mwisho wa huo msururu wa watu?
Najua ni barabarani, hata Lowassa alikuwa analakiwa barabarani wala si uwanjani. Waliodeki walideki barabara wala si uwanja. Hata hivo muda bado upo sana, nangoja kusikia sera zao.
 

Sio kwa uongo huo hata Kama mmezuia media
 
Najua ni barabarani, hata Lowassa alikuwa analakiwa barabarani wala si uwanjani. Waliodeki walideki barabara wala si uwanja. Hata hivo muda bado upo sana, nangoja kusikia sera zao.
Lowasa ni ccm Lisu sio wa namwachia Mungu
 
Bila picha huo ni unafiki...

Acha unafiki otherwise tuonyeshe picha
 
Wananchi tushajua njama zenu. Watu hawatokei kwenye mafuriko ila siku ya uchaguzi wanatimba na hawamchagui mkabila ngoo
 
CCM njia pekee waliyobakiwa Nayo ili washinde uchaguzi mkuu ni kutuma vijana walete vurugu kwenye mikutano ya Lissu. Ikifeli mbinu hiyo hawatoboi na wao wameshajua
 
Najua ni barabarani, hata Lowassa alikuwa analakiwa barabarani wala si uwanjani. Waliodeki walideki barabara wala si uwanja. Hata hivo muda bado upo sana, nangoja kusikia sera zao.
Tulieni dawa iwangieni vizuri dadeeeki cheki nyomi hiyo leo lazima mtapike nyongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…