Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Mtakuwa mmeua na kuumiza wangapi mpaka siku ya uchaguzi?
Je nini kitafuata? Kwa faida ya nani?
 
Mwanza alipata aibu sijui hakupita kabisa, hawana muda naye. Tatizo ni maneno yake ya kumshambulia jpm
 
Leo rais mtarajiwa anapopokelewa na raia wachache kuliko walioipokea treni ya mizigo inakupa picha moja tu, TLS ni taasisi sahihi inayoweza kuwa headed na Mkenya Lissu sio nchi.
 
Mwanza alipata aibu sijui hakupita kabisa, hawana muda naye. Tatizo ni maneno yake ya kumshambulia jpm
Hivi Mwanza alipita pia! Sikusikia wala kuona. Ila nikajiuliza huyu mtu katokaje Shinyanga hadi Bunda bila kupita Mwanza? Kumbe alipita na hakuna aliekuwa na muda nae😀😀
 
Hivi Mwanza alipita pia! Sikusikia wala kuona. Ila nikajiuliza huyu mtu katokaje Shinyanga hadi Bunda bila kupita Mwanza? Kumbe alipita na hakuna aliekuwa na muda nae[emoji3][emoji3]
Baby Kwe Kwe Kwe!
Aah, come nikupake wese, I nese nese, aah
Nizame ndani na rungu kwa komredi
 
watu wasome coment huko istagram kwa post za kumbusho za Lissu ndio utajua watu wameshanza kumchoka
Mkuu sio kwa kumbusho tu ni kwa page zote za wana chadema kila video wanayopost Lissu ana beza alichokifanya Jiwe, hua wachangiaji wana mdhihaki na kumtukana sana Lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…