Ahjumma
JF-Expert Member
- May 19, 2020
- 460
- 382
Tuwekee wewe basi mkuuNdomaana mpaka sasa hawajweka picha wala video.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee wewe basi mkuuNdomaana mpaka sasa hawajweka picha wala video.
Maccm hayana akili kabisaAjielekeze kwenye kutatua kero za wananchi, kwani kampeni zimeanza? Subiri kampeni ndiyo uje utoe uharo wako hapa!
Wewe mwenda kuzimuLissu mwendawazimu tu
Huyu ni tapeli achana naye mkuuUpo Arusha au umepewa tu taarifa?
Kwani lipumba anahangaika na magufuli?thetallest,
Ndio maana TV hazionyeshi au siyo? Mafuriko ya jana ya Lipumba si umeona TV zote wameonyesha?
Huoni kama yeye amekwisha anza kampeni?
Hamna tofauti na InterahamweOfisi zenu mnachoma wenyewe kwa uvivu wa kufikiri
Nipo ngurelo eneo halitoshi, unazungumzia arusha ipi mkuiNikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa jamuhuri ya muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu.ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana .
Kadhalika mwanza,na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli , hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu.
,leo Arusha jibu umelipata ,viti havina watu ,kazi kwako
Tumeni pichaNipo ngurelo eneo halitoshi, unazungumzia arusha ipi mkui
et ngrelo. Arusha hama sejemu inaitwa NgurenoNipo ngurelo eneo halitoshi, unazungumzia arusha ipi mkui
Wanaoijua arusha watakushangaaet ngrelo. Arusha hama sejemu inaitwa Ngureno
Nimezaliwa arusha mjini mkuu najua hadi vungu za mitaaet ngrelo. Arusha hama sejemu inaitwa Ngureno
mm najua zaid yako. hakuna sehemu inaitwa ngureloNimezaliwa arusha mjini mkuu najua hadi vungu za mitaa
Wanaoijua arusha watakushangaa
[/QU
Ofisi yao pale ngulelo inaeneo dogo sana .... Yan wangetuma picha maana wanampinga mtoa mada kwa maneni matupu
Ipo mkuu imepakana na kimandolumm najua zaid yako. hakuna sehemu inaitwa ngurelo
Usibishe ilimradi uonekane unabishamm najua zaid yako. hakuna sehemu inaitwa ngurelo
Ipo mkuu imepakana na kimandolu
Ipo mkuu imepakana na kimandolu