Pre GE2025 Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona unaleta habari za mwaka jana? Acha kuchanganya mada wee mgonjwa wa malaria!
 
Sidhani kama Mbowe anataka kugombea urais. Na inawezekana kuwa ni kweli alikuwa hajaamua kugombea uenyekiti. Mimi nahisi alifanya uamuzi wa kugombea baada ya lugha za kebehi dhidi yake kusheheni mitandaoni. Naamini alikuwa chini ya presha kubwa kutoka kwa ndugu na jamaa za kumtaka asigombee. Ni zile alizoita character assassinations ndio zilimsukuma afanye huo uamuzi.

Kazi sasa ni kwa wapiga kura. Ukweli haya mambo ya vijembe yanasikitisha na yanachosha.

Amandla...
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila Lissu jamani huwa ananifurahisha anavyoongea


No wonder hata zile risasi alipigwa na chadema wenzake
Ila wakamtupia zigo baba wa watu.
 
Nafasi ya mgombea uRais pale Chadema ni biashara

Kwa Sasa wanawavizia February na Dr Naniliu PhD πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Aisee...

Ndo uzuri wa huyu mwamba. Huwa hazunguki mbuyu, hamung'unyi maneno, hafichi ukweli, ukienda solemba, anakulipua hapohapo..

Ni nadra sana kuwa na viongozi wa namna ktk karne hii...

Na kwa hili, hata mimi, nilivyomtazama na kumsikiliza Mwenyekiti Freeman Mbowe kwenye interview yake na Salim Kikeke nilimwona kabisa kuna kitu hakiko sawa kwake, kuna mambo anaficha, hasemi ukweli...

Kauli yake siku ile kuwa "Makamu Mwenyekiti wangu Tundu Lissu ametushitukiza wengi kugombea uenyekiti" inasema mengi sana..

It's very sad kuwa kwa yeye Freeman Mbowe (kiongozi wa chama, Mwenyekiti) kusema uongo kama hiyo inaweza kuwa busara kama tunavyoambiwa "ANA BUSARA..."
 
Mbowe kakutana na kisu cha ngaribaπŸ˜…
 
Huyu Mzee anapenda vita sana vya maneno.
Anasema ana mdomo mpana,

Wanaomshabikia kuna siku atawarudia..

Kama hata vikao vya sir anaropoka mpaka eneo walilofanyia.. imagine ni top boss wa CDM.....

Siasa za upinzani kuendesha chama sio kazi rahisi .

Kuendesha chama kwa kusema tu?

Tupo
 
kama ccm mwenyekiti ndo raisi why not CDM ? Sina mahaba na mwana , ila kwa hali ya chadema natamani ashinde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…