Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwa hiyo walimuitia viongozi wa dini kumtega ili akikataa waseme mnaona huyo mtu wenu hana heshima, hashauriki. Lakini Chuma kikaenda kikaoni na kikasema kinataka uenyekiti bila kupepesa macho!.
Twende na Lissu huyu siyo vuguvugu yeye ni wa moto!
Twende na Lissu huyu siyo vuguvugu yeye ni wa moto!