Pre GE2025 Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

Pre GE2025 Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hamna kitu kibaya hapa duniani kama kuwa upande wa pili wa Lissu( Na uzuri wa Lissu huwa hana konakona, hata ukimwambia hii ni siri kuna siku utaikuta gazetini)
Hapana, Lissu anatambua vyema kipi ni siri ila hauwezi ukayatumia ya sirini kutaka kumpiga halafu yeye akae kimya.
Mbowe hakupaswa kumshambulia Lissu kuwa anataka vyote na kwamba uamuzi wake wa kugombea ulikuwa ni wa 'ghafla sana' wakati akijua walikutana faragha na kulikuwa na makubaliano.

Kwanini aongee uongo? Kama Lissu angekuwa ni mtoa siri basi hili angeliongea tangu wakati ule anachukua form.
LIssu ameongea na kuhojiwa mara nyingi sana lakini hakuwahi kuonyesha dalili yoyote kwamba kulikuwa na maongezi yoyote baina yao, ni Mbowe ambaye katekenywa kidogo tu, anatoa kauli zinzopelekea yaliyo sirini kuvuja sababu alitaka kuutumia usiri ule kujiweka salama akijifanya 'Mr. Smart'.

Lissu hakuwahi kumshambulia Mbowe, ila inaonekana Mbowe hawezi kujieleza akaeleweka bila ya kumshambulia Lissu
 
Wakuu

Kimeumana CHADEMA, Tundu Lissu amvaa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe baada ya kurejea Tanzania kutoka nchini Ubeligiji.

Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuulizwa kuhusu alichokisema Mbowe kuwa walishauriana asigombee Uenyekiti CHADEMA, pengine baadae angegombea Urais

Soma, Pia: Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

"Kwanza hili niliseme kwa masikitiko, kwasababu si jambo nzuri kusema Mwenyekiti (Freeman Mbowe) amesema uongo, kwenye hili amesema uongo. Tulikutana kwa siku tatu hapa Msimbazi, Kanisani tukipatanishwa, tukizungumza juu ya hiki kinyang’anyiro na kwa siku tatu zote Mwenyekiti alisema yeye hajaamua kugombea nafasi yoyote [kwa siku tatu], Katibu Mkuu John Mnyika ni shahidi…."
View attachment 3194110
Lissu kaamua kupambania uenyekiti safari hii.

Lusungo Retired econonist
 
Hadi naona shida nianzie wapi kukuelemisha, tafuta taarifa kwanini Lissu aliamua kubadili mawazo na kugombea nafasi ya Uwenyekiti.

Mbowe alijipanga kumfanyia uhuni makamu wake. Alipanga kuanza na kumpoka nafasi ya umakamu kisha kumnyima nafasi ya kugombea Urais.

Lissu akashtuka mapema naye akabadili mawazo, ndio hii imekuwa vita sasa.
Mbowe alitaka kabisa kummaliza Lissu kihuni kabisa.

Lissu kafanya vyema sana kuonyesha tabia halisi ya Mbowe.
 
Hadi naona shida nianzie wapi kukuelemisha, tafuta taarifa kwanini Lissu aliamua kubadili mawazo na kugombea nafasi ya Uwenyekiti.

Mbowe alijipanga kumfanyia uhuni makamu wake. Alipanga kuanza na kumpoka nafasi ya umakamu kisha kumnyima nafasi ya kugombea Urais.

Lissu akashtuka mapema naye akabadili mawazo, ndio hii imekuwa vita sasa.
Nilijua una za ndani za celebrity tu kumbe mpaka za Siasa
 
Wakuu

Kimeumana CHADEMA, Tundu Lissu amvaa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe baada ya kurejea Tanzania kutoka nchini Ubeligiji.

Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuulizwa kuhusu alichokisema Mbowe kuwa walishauriana asigombee Uenyekiti CHADEMA, pengine baadae angegombea Urais

Soma, Pia: Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

"Kwanza hili niliseme kwa masikitiko, kwasababu si jambo nzuri kusema Mwenyekiti (Freeman Mbowe) amesema uongo, kwenye hili amesema uongo. Tulikutana kwa siku tatu hapa Msimbazi, Kanisani tukipatanishwa, tukizungumza juu ya hiki kinyang’anyiro na kwa siku tatu zote Mwenyekiti alisema yeye hajaamua kugombea nafasi yoyote [kwa siku tatu], Katibu Mkuu John Mnyika ni shahidi…."
View attachment 3194110
Lissu amenyooka kama rula
 
Nini maana ya "kuropoka"?
Labda nikujibu kwa kirefu ili upate shule kidogo,
Tofauti kati ya mtu muwazi na mropokaji ni kama ifuatavyo:

Mtu Muwazi

  1. Maana: Huyu ni mtu anayesema ukweli kwa uwazi, lakini kwa hekima na kwa kufuata mipaka ya kile kinachostahili kusemwa.
  2. Tabia:
    • Anaelezea mawazo au hisia zake kwa uwazi na kwa njia inayoheshimu wengine.
    • Hutoa maelezo pale inapohitajika bila kuzidisha.
    • Huzingatia faragha ya watu wengine na mazingira yanayomzunguka.
    • Anakuwa mkweli na wa moja kwa moja, lakini bila kuumiza hisia za watu.
  3. Madhara:
    • Mara nyingi anapendwa kwa sababu ya uaminifu wake.
    • Anaaminika na watu kwa sababu ya uwazi wake wa kufikiria na kusema.

Mropokaji

  1. Maana: Huyu ni mtu anayesema mambo bila kufikiria mara mbili, mara nyingine bila kuzingatia athari za maneno yake.
  2. Tabia:
    • Hutoa habari nyingi, hata zile zisizo na umuhimu au zinazoweza kusababisha madhara.
    • Hajali mipaka ya faragha ya wengine au athari za maneno yake.
    • Anaweza kusema vitu vya siri, visivyotakiwa au vya kufedhehesha.
    • Husema bila kufikiria, mara nyingine akiongea kwa haraka.
  3. Madhara:
    • Mara nyingi huonekana kama mtu asiyeaminika au asiyejali hisia za wengine.
    • Huwa chanzo cha migogoro, fitina, au kutokuaminiana.
    • Anaweza kupoteza heshima kwa sababu ya tabia yake ya kuropoka bila busara.
Kwa ufupi, muwazi ni mwenye busara katika kusema, wakati mropokaji hana mipaka wala umakini. Tofauti kubwa ni hekima na uangalifu katika mawasiliano.
 
Hapana, Lissu anatambua vyema kipi ni siri ila hauwezi ukayatumia ya sirini kutaka kumpiga halafu yeye akae kimya.
Mbowe hakupaswa kumshambulia Lissu kuwa anataka vyote na kwamba uamuzi wake wa kugombea ulikuwa ni wa 'ghafla sana' wakati akijua walikutana faragha na kulikuwa na makubaliano.

Kwanini aongee uongo? Kama Lissu angekuwa ni mtoa siri basi hili angeliongea tangu wakati ule anachukua form.
LIssu ameongea na kuhojiwa mara nyingi sana lakini hakuwahi kuonyesha dalili yoyote kwamba kulikuwa na maongezi yoyote baina yao, ni Mbowe ambaye katekenywa kidogo tu, anatoa kauli zinzopelekea yaliyo sirini kuvuja sababu alitaka kuutumia usiri ule kujiweka salama akijifanya 'Mr. Smart'.

Lissu hakuwahi kumshambulia Mbowe, ila inaonekana Mbowe hawezi kujieleza akaeleweka bila ya kumshambulia Lissu
Exactly 💯..Freeman ana matatizo sana...nawaonea huruma waliomuamini na ikawagharimu hata uhai wao....
Hii dunia unahitaji smartness sana...pole yao
 
Dokta ndio nani?
February ni nani?
Mnatuacha mataa
Huyo February toa mwezi mmoja utakachobakiwa nacho ndio huyo huyo
Dokta ndio yule alikuwa ukitoa cheo cha mwenyekiti, makamu mwenyekiti anayefuata ndio huyo huyo
 
Labda nikujibu kwa kirefu ili upate shule kidogo,
Tofauti kati ya mtu muwazi na mropokaji ni kama ifuatavyo:

Mtu Muwazi

  1. Maana: Huyu ni mtu anayesema ukweli kwa uwazi, lakini kwa hekima na kwa kufuata mipaka ya kile kinachostahili kusemwa.
  2. Tabia:
    • Anaelezea mawazo au hisia zake kwa uwazi na kwa njia inayoheshimu wengine.
    • Hutoa maelezo pale inapohitajika bila kuzidisha.
    • Huzingatia faragha ya watu wengine na mazingira yanayomzunguka.
    • Anakuwa mkweli na wa moja kwa moja, lakini bila kuumiza hisia za watu.
  3. Madhara:
    • Mara nyingi anapendwa kwa sababu ya uaminifu wake.
    • Anaaminika na watu kwa sababu ya uwazi wake wa kufikiria na kusema.

Mropokaji

  1. Maana: Huyu ni mtu anayesema mambo bila kufikiria mara mbili, mara nyingine bila kuzingatia athari za maneno yake.
  2. Tabia:
    • Hutoa habari nyingi, hata zile zisizo na umuhimu au zinazoweza kusababisha madhara.
    • Hajali mipaka ya faragha ya wengine au athari za maneno yake.
    • Anaweza kusema vitu vya siri, visivyotakiwa au vya kufedhehesha.
    • Husema bila kufikiria, mara nyingine akiongea kwa haraka.
  3. Madhara:
    • Mara nyingi huonekana kama mtu asiyeaminika au asiyejali hisia za wengine.
    • Huwa chanzo cha migogoro, fitina, au kutokuaminiana.
    • Anaweza kupoteza heshima kwa sababu ya tabia yake ya kuropoka bila busara.
Kwa ufupi, muwazi ni mwenye busara katika kusema, wakati mropokaji hana mipaka wala umakini. Tofauti kubwa ni hekima na uangalifu katika mawasiliano.
Hii sio wewe umeandika ni AI fanya contextualization Ndio maana ya kuwa great thinker. Ningekua Mwalimu wako ni mswaki tu nakupa!
 
Back
Top Bottom